Jamani msaada,
Kwa watumiaji wa hii application mimi nimetapeliwa hela na mtu na namba yake inapatikana mpaka sasa. Hivi naweza kutumia hiyo application ili niweze kujua location ya huyu mtu ili nimkamate? Maana inasemekana unaweza kupata message na calls ambazo huyu mtu anafanya bila yeye...
msaada jaman. naona nimechaguliwa chuo, na kwenda ni tarehe moja october ila sijui mkopo naangalizia wapi na nimepata asilimia ngapi??. kwa mwenye taarifa msaada jaman.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.