Recent content by OnlineFinancial

  1. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Nashukuru sana mkuu, nitafwata ushauri wako kiongozi!!
  2. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Sisi tumeambiwa turipoti kwa katibu mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji... sijui huko nako pakoje kwenye swala la stahiki!!
  3. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Na yangekua na formula kama mathematics na physics basi yangekua marahisi sana!!
  4. OnlineFinancial

    Uzi maalum wa kujifunza Java online

    My idea sio kufananisha watoto wa kizungu na hawa wetu, nilitakak kukwambia unaweza soma Java na language ingine yeyote bila kuwa na mwalimu ...
  5. OnlineFinancial

    Uzi maalum wa kujifunza Java online

    1. Java 2. Python/Django 3. PHP/Laravel Hapo sijaweka HTML, CSS/Bootstrap maana sio langauges... Nikipata muda nataka kujifunza C++ ili inisaidie katika projects za IoT.
  6. OnlineFinancial

    Uzi maalum wa kujifunza Java online

    Hili ndio tatizo la wabongo wengi!! do you think Java is a rocket science? kwa wenzetu watoto wa miaka 12 wanagonga C na C++ kwa kujifunza wenyewe achilia mbali hiyo Java ambayo wewe unadhani ni lazima mwalimu!!!
  7. OnlineFinancial

    Kwa anaeijua vizuri SQL Database au anatumia c#. Msaada tafadhali

    Tatizo liko hapa, nenda mitandaoni, nenda youtube hutakosa jibu!
  8. OnlineFinancial

    Ushauri kwa Wanaofanya Interview Utumishi

    Kiuhalisia hiki ndicho kilichonibeba!!! Nakumbuka niliulizwa maswali kama manne au matano na sina kumbukumbu kama kuna swali nilijibu 100% correct may be swali moja au mawili!!! Baada ya kumaliza interview nikiwa najiandaa kutoka nje muuliza maswali akasema "I like your confidence" huku akiwa...
  9. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Nashukuru sana kiongozi, kwa ujuzi wako yanakua yanachezea shi ngapi?!!
  10. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Nadhani wewe ndio unatakiwa uanzishe thread ya kuniomba radhi kwa kunipa maneno ambayo sijawahi yasema!
  11. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Nashukuru kwa kunikumbusha mkuu ila jua kupiga au kuto kupiga ni tabia ya mtu binafsi! BTW nitajitahidi nisiwe kwenye hilo kundi!
  12. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Thanks alot!! ila ningependa kama ungeelezea hii vetting inakuaje!!
  13. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Uko sahihi, ila mimi niliiomba maana najua naenda kufanya nini!!
  14. OnlineFinancial

    Baada ya kusota mtaani, nimepata kazi serikalini kama injinia wa maji!

    Nimekupata vizuri sana mkuu, shukrani kwa mawazo yako!!
Back
Top Bottom