Recent content by online shop

  1. online shop

    Unga wa ngano na unga wa ugali bei moja

    Hali ya chakula nchini ni ngumu naona sembe na ngano wanauza bei moja kulikoni?
  2. online shop

    Bidhaa za Kenya bei juu mara dufu kwenye soko la Tanzania

    Prestige caton ilikuwa 70,000 jan sasa ni 92,000 Jamaa soap was 47,000 now 82,000 Blueband was 72,000 now 110,000 Kuna shida gani mpakani??
  3. online shop

    Wazazi wapya, elezeni changamoto zenu nipo tayari kuwasaidia

    Asante sory Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
  4. online shop

    Wazazi wapya, elezeni changamoto zenu nipo tayari kuwasaidia

    Mimi ni mtaalamu wa kudili na watoto wachanga day 1 up to 3yrs kwenye maswala ya bidhaa zao. Mtoto atumie diaper gani kwa umri wake? Atumie maziwa gani ale chakula gani etc Kwaiyo kama kuna mtu ana swali au kuna kitu unaitaji cha mtoto naomba uulize niko tayari
  5. online shop

    Mwanaume wa kuishi naye, mtu mzima anatakiwa

    Hawara wa nini?
  6. online shop

    Mwanaume wa kuishi naye, mtu mzima anatakiwa

    Sitaki kuwa msumbufu,sipendi mahusiano ya mbali.
  7. online shop

    Mwanaume wa kuishi naye, mtu mzima anatakiwa

    Ulitaka nisemeje??
Back
Top Bottom