Recent content by Ongito

  1. Ongito

    Tukiruhusu tu katiba pendekezwa ipigiwe kura na wananchi hata waliokufa watakuwemo.

    jeuri yenu kwisha ipo karibu,,,na mtajuta sana ufisadi wenu unakapotaifishwa,,hamuiwezi nguvu ya umma
  2. Ongito

    Tukiruhusu tu katiba pendekezwa ipigiwe kura na wananchi hata waliokufa watakuwemo.

    mpaka sasa wamefikia wajumbe wa 3 waliochomekwa ili akidi kutimia,,,,katiba tumeikataa lakini kwa kiburi walioijenga iko wazi maoni watayachakachua,hapo ndipo ccm itakuwa imemwaga wino wa machafuko kuelekea 2015.
  3. Ongito

    Saini ya kutokuwa na imani na rais zaitajika, Ben Saanane aratibu upatikanaji wake

    kutambua huu ni uwizi au sio hauhitaji digri ,mtapingana na ukweli lkn hamtashnd,mmpewa kazi ngumu na akina nape kupiga vuvuzela,mmchelawa TZ wameichoka ccm
  4. Ongito

    Saini ya kutokuwa na imani na rais zaitajika, Ben Saanane aratibu upatikanaji wake

    kaka unayopewa na mafisadi kutusaliti ni tone 2 ya kile walichojilimbikizia ,angalia kizaz chako hutaish kwa udhalim milele kila k2 kina mwisho ,,ukweli mnaujua ila mnajifanya viziwi
  5. Ongito

    Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yaagiza DC Gambo akamatwe

    chadema imewachakaza ccm ndiyo maana haiwatoki mdomoni
  6. Ongito

    Nape; Kama UKAWA Wameshindwa Kuizuia Katiba Pendekezwa Bungeni, Mtaani Wasahau Kabisa

    Namchukia sana nape mropokaji akichezea akili zetu ,akijivunia hata maendeleo yaliyofanywa na serikali kwa kodi zetu ati ccm imefanya!!! propaganda zao ni unafiki mtupu kama mwenyekiti wao kawafuga wezi,watoa rushwa wataweza kufanya nini? kama si kelele za kushiba hela zetu
  7. Ongito

    Nape; Kama UKAWA Wameshindwa Kuizuia Katiba Pendekezwa Bungeni, Mtaani Wasahau Kabisa

    point of corect,ni shida yoyote_si yeyote ,alafu kwani chadema imewakaa ubongo kila kitu lazma muitaje ,kwanii kakuambia nani huyo chadema? kama sio hofu kwa sababu ndiyo mtoa ccm roho
  8. Ongito

    Nape; Kama UKAWA Wameshindwa Kuizuia Katiba Pendekezwa Bungeni, Mtaani Wasahau Kabisa

    "ya kuambiwa changanya na yako" ndivyo mlivyokaririshwa tambua hamwezi kupambana na ukweli wa umma_ccm imezeeka sera,utendaji,uwajibikaji hivyo kama imewashinda akina wasira sembuse wewe
  9. Ongito

    Kura ya Hapana yazidi kupaa CHADEMA , Humphrey Polepole, Prof. Lwaitama na Askofu

    hayo matumaini yenu magamba mimi na wenzangu wanaojielewa -HAPANAAAA!!
  10. Ongito

    Mastaa wa bongo waipongeza rasimu ya katiba mpya

    hawajielewi wasanii,hivi walijuaje uzuri wa katiba na kuisifia siku ya ufunguzi na kuitolea hutuba wakati katiba ndiyo kwanza ilikuwa ikizinduliwa na rais,kama hawajafanya unafiki Wasije kulalamika tena.
  11. Ongito

    Alia hadharani hakupiga kura ya Ndio katika Katiba

    Kwa mtu makini lazima utakuwa umechukizwa na kilichotokea BMK "Sita,Chenge,Samia na ccm " Tujue wanayo kiburi cha madaraka ndiyo maana Rais kikwete amewabariki na wana msemo wao ,'Huu upepo wa siasa utapita tu' kama ilivyopita kwa Lowasa,Chenge,Rostam na ufisadi mwingine na kama haitoshi Mzee...
  12. Ongito

    Alia hadharani hakupiga kura ya Ndio katika Katiba

    nmependa coment yako nmecheka sana mkuu kwa kumshukia huyo jamaa tatizo hawaxomi na kulewa na hili nitatizo kubwa kwa tz kubashiri unachokisema hata kama hujamaliza kuongea.,
  13. Ongito

    Picha na Maelezo: Mkutano wa CHADEMA Arusha - Tar 08.10.2014

    duh ni nyomi Mapambano mbele mpaka TZ yote itakuwa hivi haswa pwani ndo ngome ya misukule ya riz ,babake na ukoo wa magamba
  14. Ongito

    Picha na Maelezo: Mkutano wa CHADEMA Arusha - Tar 08.10.2014

    wa dodoma wamepelekwa usafiri,pilau bwere ree peleka tumbo na macho 2 wametolew tz si wana dom hao.,,mabas yamewasombaje huku dar?
Back
Top Bottom