mpaka sasa wamefikia wajumbe wa 3 waliochomekwa ili akidi kutimia,,,,katiba tumeikataa lakini kwa kiburi walioijenga iko wazi maoni watayachakachua,hapo ndipo ccm itakuwa imemwaga wino wa machafuko kuelekea 2015.
kutambua huu ni uwizi au sio hauhitaji digri ,mtapingana na ukweli lkn hamtashnd,mmpewa kazi ngumu na akina nape kupiga vuvuzela,mmchelawa TZ wameichoka ccm
kaka unayopewa na mafisadi kutusaliti ni tone 2 ya kile walichojilimbikizia ,angalia kizaz chako hutaish kwa udhalim milele kila k2 kina mwisho ,,ukweli mnaujua ila mnajifanya viziwi
Namchukia sana nape mropokaji akichezea akili zetu ,akijivunia hata maendeleo yaliyofanywa na serikali kwa kodi zetu ati ccm imefanya!!! propaganda zao ni unafiki mtupu kama mwenyekiti wao kawafuga wezi,watoa rushwa wataweza kufanya nini? kama si kelele za kushiba hela zetu
point of corect,ni shida yoyote_si yeyote ,alafu kwani chadema imewakaa ubongo kila kitu lazma muitaje ,kwanii kakuambia nani huyo chadema? kama sio hofu kwa sababu ndiyo mtoa ccm roho
"ya kuambiwa changanya na yako" ndivyo mlivyokaririshwa tambua hamwezi kupambana na ukweli wa umma_ccm imezeeka sera,utendaji,uwajibikaji hivyo kama imewashinda akina wasira sembuse wewe
hawajielewi wasanii,hivi walijuaje uzuri wa katiba na kuisifia siku ya ufunguzi na kuitolea hutuba wakati katiba ndiyo kwanza ilikuwa ikizinduliwa na rais,kama hawajafanya unafiki Wasije kulalamika tena.
Kwa mtu makini lazima utakuwa umechukizwa na kilichotokea BMK "Sita,Chenge,Samia na ccm " Tujue wanayo kiburi cha madaraka ndiyo maana Rais kikwete amewabariki na wana msemo wao ,'Huu upepo wa siasa utapita tu' kama ilivyopita kwa Lowasa,Chenge,Rostam na ufisadi mwingine na kama haitoshi Mzee...
nmependa coment yako nmecheka sana mkuu kwa kumshukia huyo jamaa tatizo hawaxomi na kulewa na hili nitatizo kubwa kwa tz kubashiri unachokisema hata kama hujamaliza kuongea.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.