Recent content by ongea kwa hakika

  1. ongea kwa hakika

    Makabila zaidi ya 128 yanayopatikana Tanzania Bara

    NJOMBE: Wilaya ya makete. Wakinga Wilaya ya ludewa . Wapangwa Wamanda Wilaya ya njombe Wawanji Wabena Wilaya ya wangingombe Wabena
  2. ongea kwa hakika

    Makabila zaidi ya 128 yanayopatikana Tanzania Bara

    KILIMANJARO: Wachaga Wilaya ya same. Wapare Rombo Wapo Wachaga pamoja na Wakamba
  3. ongea kwa hakika

    Makabila zaidi ya 128 yanayopatikana Tanzania Bara

    MBEYA: Wilaya za Rungwe na Kyela Wanyakyusa Wilaya ya mbeya mjini. Wasafwa Mbozi. Wanyiha. Wilaya ya chunya Wabungu Wilaya ya ileje. Wandali Wilaya ya mbeya vijini. Wamalila Mbarali Wasangu Momba. Wanyamwanga Wakisu na Wanyasa wanapatikana sambamba na Wanyakyusa pia katika wilaya...
  4. ongea kwa hakika

    Ni mkoa gani unaoongoza kwa kuwa na matajiri wengi Tanzania?

    Wengi wa hao matajiri hawalipi kodi na hawana mfumo unaoeleweka wa kuwaingizia pesa ndio maana utajiri wao huweza kupotea mara moja au kufilisika haraka na kizazi chake cha pili,tatu na cha nne kutofaidi au kushindwa kuendeleza utajiri zaidi wa familiarity....angalia matajiri wengi wa Arusha...
  5. ongea kwa hakika

    Majambazi ya Stakishari yapigwa Risasi Kigamboni

    Hawa polisi inabidi wawezeshwe zaidi,na maslahi kuboreshwa kama inavyohitajika kwa watumishi wote wa serikali ili wasingie tamaa na wafanye kazi yao kwa haki bila stress
  6. ongea kwa hakika

    Majambazi ya Stakishari yapigwa Risasi Kigamboni

    Ndio hawajatangaza kwa sababu wanazojua wao nadhani suala la kipelelezi zaidi lakini baadhi yao kwa taarifa tu wameshakamatwa,nadhani ilikuwa rahisi kutokana na mwenzao waliyemwacha,uchunguzi unaanzia pale...hata watu wa cyber bila shaka walihusishwa
  7. ongea kwa hakika

    Haki huinua Taifa

    Kumbe Moravian nao ni Walokole,mbona sasa Walokole wenyewe wanawabagua haya makanisa ya Kiprotestant chini ya CCT anglican,Moravian,Lutheran na Baptist kuwa hawa si walokole kama wao pentecoste kina TAG na mengineyo ya uamsho
  8. ongea kwa hakika

    Silinde alipua juu ya ndovu

    Hii habari ipo kwenye news outlets za ulimwengu mzima ikiwemo vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa kama cnn,AFP,BBC Al jazeera na forum mbalimbali. Wenzetu China serikali yao jana ilikanusha hii habari vivyo hivyo Silinde kama mtanzania anayo haki ya kuihoji serikali yake juu ya hii...
  9. ongea kwa hakika

    Silinde alipua juu ya ndovu

    Hii habari ipo kwenye news outlets za ulimwengu mzima ikiwemo vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa kama cnn,AFP,BBC Al jazeera na forum mbalimbali. Wenzetu China serikali yao jana ilikanusha hii habari vivyo hivyo Silinde kama mtanzania anayo haki ya kuihoji serikali yake juu ya hii habari...
  10. ongea kwa hakika

    Siungi mkono kauli ya Mh. Mbowe kutaka kutoagizwa sukari nje

    kuna wakati hawa wanasiasa inabidi wajifunze kukaa kimya wanapokosa cha kuongea, si kila jambo lazima uongee kama huwezi kutoa mchango wenye faida endelevu kwa nchi.......disappointed on this mheshimiwa!!
  11. ongea kwa hakika

    Revealed: Corrupt Government and BoT major contributor to the depreciation of the shilling

    :der::der: serikali inafanya nini juu ya hili suala?
  12. ongea kwa hakika

    Al Jazeera: Meno ya tembo yalisafirishwa ndani ya ndege ya Rais wa China! nchini Tanzania

    http://finance.yahoo.com/news/report-africa-ivory-smuggled-china-124004184.html?soc_src=copy link mojawapo iliowekwa kwenye yahoo hiyo hapo,pia kuna kuna link nyingine kadhaa kutoka news outlets mbalimbali juu ya habari ya pembe za ndovu............habari iwe ya kweli au isiwe ya uwongo, ukweli...
Back
Top Bottom