Mimi ni mfanyakazi wa serekari ni clinical officer, natafuta clinical officer au assistant ambaye tutabadilisha vituo vya kazi. Mia ninafanya kazi wilaya ya Singida DC. Nataka mtu wa kubadili nae ambae yupo wilaya ya Kasulu au Buhigwe mkoa wa Kigoma
Mimi ni mfanyakazi wa serekari ni clinical officer, natafuta clinical officer au assitant ambaye tuta badilisha vituo vya kazi.mia ninafanya kazi wilaya ya singida dc. Nataka mtu wa kubadili nae ambae yupo wilaya ya kasulu au buhigwe mkoa wa kigoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.