WAVULANA JILINDENI NA MABINTI JICHUNGENI
(Epsode 01)
Kijana aliyesoma miaka 17 kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu bila kuwahi kutongoza mabinti, kuzini na mabinti wala kujichua aandika shairi ili kuwahamasisha vijana wengine kuwa inawezekana kujitunza katikati ya wengi walioharibika ili...
Habarini ndugu zangu wanajamii forum leo kwa mara ya kwanza naandika katika "stories of change 2022" , kwasababu ni mshiriki mgeni na Sina uzoefu wowote Wa kuandika machapisho katika hili jukwaa ,lakini ni mfuatiliaji tu wa mijadala ya jamii forum kwa miaka kadhaa ,hivyo basi nami ningependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.