Mradi wa maji wa Sh585 milioni wazinduliwa na mwenge wa uhuru
MWENGE wa Uhuru umezindua rasmi Mradi wa Ujenzi wa Mtambo wa Kuchuja Maji Igombe–Kabangaja, jijini Mwanza, uliyojengwa kwa gharama ya Sh585 milioni, unaolenga kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa maeneo hayo...
“KAFITI HATOSHI ILEMELA?”KAULI YA RC MWANZA KWA KAFITI “KUKALIA KITI NUNUSU”.
Siku chache zilizopita Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, alitoa kauli yenye mashaka na utata ndani yake kuhusu Mbunge wa Ilemela Kafiti William.
Kauli ya mkuu wa mkoa ilikuwa hivi, nanukuu maneno yake,” wewe sasa...
Serikali yachukua hatua kumaliza mgogoro wa Mwekezaji na mwananchi kwenye fukwe Mwanza
Serikali imeanza kuchukua hatua za kumaliza mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa takribani miaka minne tangu 2022 kati ya mwekezaji, Amirali Manji na Mohamed Bakiri dhidi ya Moses Zakaria Joram ambae ni Mmiliki wa...
KIGOGO TAMISEMI MATATANI, ATUHUMIWA KUMILIKI ENEO LA WAZI ZIWA VICTORIA
Kigogo mmoja Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) akishirikiana na mtu mmoja mkazi wa Jiji la Mwanza pamoja na baadhi ya Maafisa wa Jiji wameingia katika kashfa nzito ya kumiliki eneo la...
ATCL YAZINDUA SAFARI ZA MWANZA - DODOMA, ABIRIA 1300 KWA SIKU
Shirika la Ndege Tanzania(ATCL), limezindua safari zake za utoaji huduma kati ya Mwanza -Dodoma ikiwa ni kurahisisha safari kwa watumiaji kwa njia ya anga.
Safari hizo zilianza Juni 5,2026, ikitajwa kusaidia wafanyabiashara na...
WATEJA WAPYA 1500 WAENDELEA KUUNGANISHIWA MAJI MWANZA
Agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kwa watendaji wa Wizara hiyo la kuwaunganishia huduma ya maji safi wananchi limeendelea kutekelezwa.
Aweso alitoa agizo hilo Juni 17 mwaka huu la kuhakikisha wananchi walioomba na kulipia kuunganishwa na...
MKATABA WASAINIWA UJENZI CHANZO KIPYA CHA MAJI MWANZA
Katika kuhakikisha huduma ya maji inaendelea kuimarika katika Jiji la Mwanza na maeneo ya jirani Umoja wa Ulaya na Shirika la Maendeleo la Ufaransa ( EFD) wamesaini mkataba wa shilingi bilioni 35.6kwa ajili ya ujenzi wa chanzo kipya cha...
KAMBI YA WAZIRI AWESO MWANZA, HUDUMA MAJI SAFI YAREJEA AWAONYA WATUMISHI
Kambi iliyowekwa jijini Mwanza na Wazir wa maji Jumaa Aweso, imeleta manufaa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza baada ya huduma ya maji safi kurejea katika maeneo mbalimbali.
Baada ya kambi hiyo ya siku nne Jiji Mwanza...
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewasimamisha kazi viongozi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kutokana na huduma ya maji kuwa changamoto huku akimuacha Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo, Nelly Msuya ambaye anatarajiwa kukamilisha majukumu yake wiki mbili zijazo.
Aweso...
KESI YA MFANYABIASHARA BASIL AENDELEA KUSOTA BUTIMBA
Kesi inayomkabili Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza nyavu cha Nyamagara Fishing LTD cha jijini Dar es salaam, Basil Kyando, imehairishwa kufuatia wadau muhimu katika kesi hiyo kutofika mahakamani.
Kesi hiyo namba 10606 ya...
JOSEPH NJIWA PORI NA MWENZAKE MMILIKI KIWANDA CHA NYAMAGARA WAKAMATWA
Familia ya Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza nyavu cha Nyamagara Fishing LTD cha jijini Dar es salaam inailalamikia serikali kwa kumkamata na kumficha kwa siku nane ndugu yao.
Familia hiyo inadai baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.