Recent content by oneflash

  1. oneflash

    Kenya mna mengi ya kujifunza Tanzania

    Kwa visababu, visingizio na kujitoa ufahamu huwa hamjambo. Wajaluo wameandamana Nakuru,Nyeri, Eldoret, kakamega, Mombasa n.k. wewe kaa hapo!.
  2. oneflash

    Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

    Kuna baadhi ya vipengee vimebadilishwa, kama sio haya maandamano bill ingepitishwa katika hali yake halisi ambayo ilikuwa kandamizi zaidi
  3. oneflash

    Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

    Hata ikipitishwa ujue ni kwa ajili ya maandamano kuna marekebisho kadhaa ishaafanywa. Tena Ina maana serikali itakuwa na uangalifu fulani baadae kabla kufanya jambo linalowahusu raia!
  4. oneflash

    Hizi ni Nchi zinazotoa VISA bure, Wabongo tunafeli wapi kusongamana ughaibuni kama Wanaijeria

    Mimi mkenya hapa. Mjadala wako ni wa tija mno ila ukifuatilia vile wenzako wanachangia unapigwa na butwaa hadi huruma tuu. Kwa hizi akili na vile tunahamasisha biashara baina ya waafrika (intra-african trade), kuna kila sababu ya kukiri bado waafrika tuko na safari ndefu sana. Kama kuna mtu...
  5. oneflash

    Malori ya mahindi yakwama mpakani, wamlilia Rais Samia

    NA ndio hao umbwa wenzako wanang'ang'ana kuwaletea mahindi tena waliyoyapanda kwa jasho na hela zao!. 🤣
  6. oneflash

    Rais Ruto awasimamisha kazi Makamishna 4 waliopinga matokeo ya Urais

    Ungekuwa umesoma na kuelewa chenye mleta mada ametundika hapo juu. Hilo swali lako ungekuwa umejijibu. Sio Ruto amewasimamisha kwa mamlaka yake. Yeye kashurutishwa tuu kisheria.
  7. oneflash

    Kenya2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

    Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ni bora ungeuliza mwanzo kabla kuharisha huu utumbo wako hapa. Mimi ni mkenya na ningependa kukujuza sababu ya stesheni tofauti kuonyesha matokeo yasiyo wiana. Tume ya uchaguzi imeweka wazi tovuti yake kwa kila mwenye anataka kufuatilia matokeo ya vituo...
  8. oneflash

    Hayati Benjamin Mkapa ndiye aliyejua Kiingereza fasaha Afrika Mashariki

    Licha ya kuwa haifai kushindana kuhusu nani mbabe kwa kuongea lugha za wenyewe, lakini mkapa hawezi mshinda proff Lumumba ama marehemu makamu wa rais kijana wamalwa. Hilo nakuhakikishia. Hadi hujamsikiza Maina Kageni wa classic redio hapa Kenya.
  9. oneflash

    Walimu wa Kenya changamkieni fursa kama kawaida, Uganda yarasimisha Kiswahili

    Our country men never disappoints (Kenyans). Ngoja uone vile hii kitu itachangamkiwa.
  10. oneflash

    Wamarekani wawekeza Tanzania $1.5B, Kenya only $353M, Uganda $42

    So you mean I know it's the term I used that's challenging you 🤣🙈. A remittance is a payment of money that is transferred to another party. Can also be reffered to as money being sent from abroad. These set ups pay land rates, consumes local electricity, water, fuel to their cars, buys from...
  11. oneflash

    Wamarekani wawekeza Tanzania $1.5B, Kenya only $353M, Uganda $42

    Na unauliza?. Headquarters mean more consumption of goods and services. Monthly remittances in water and electricity bills, land rates, creation of jobs etc.
  12. oneflash

    Wamarekani wawekeza Tanzania $1.5B, Kenya only $353M, Uganda $42

    Kuwepo kwa hayo maofisi kuna faida sana than a one off investment.
  13. oneflash

    Ethiopia moves to allow entry of Kenyan banks

    Kwanza Equity na hii strategy yao ya kutongoza hadi mtu wa chini wanategea tuu fursa ijipe, watavuruga hio market hadi pachimbike.
  14. oneflash

    Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

    Don't worry brother, so long as you noticed it, it means you know what it should be. What matters is having the message home and dry.
  15. oneflash

    Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

    Common sense should inform you that typos and autocorrect are real!.. 👊
Back
Top Bottom