Asanteni sana kwa wote mliosaidia kupatikana kwa ndugu yangu, ni kweli ni ndugu yang kabisaa from the same father...
May Lord blesa yo'all ...
Appreciating on JF
Karibu sana ndugu yangu...
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga..Ni mtoto wa mr.Gerson jacob kasaanga,ambaye ni mfanyakazi katik kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC,ILIYOPO katika kambi ya jeshi ya nyumbu kibaha...sifa zote ulizozitaja ndizo alizonazo baba yetu...
Tuwasiliane sasa ...
Karibu sana Ndg yangu..
Mimi naitwa Onesmo Gerson Jacob Kassanga,ni mtoto wa mr.gerson jacob kassanga ambaye ni mfanyakaz wa kampuni ya magari iitwayo Nyumbu-TATC iliyopo kibaha katik kambi ya jeshi...ni wenyeji wa sikonge - Tabora.
Na sifa hzo zote ulizozitaja ndizo za baba yetu...
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.