Recent content by one wisow

  1. one wisow

    Simba wataenda uwanja gani kupata point 3 hiyo tarehe 15?

    Sababu za kuahirisha mechi zilishatolewa na bodi ya ligi. Wew unataka sababu gani tena?? Vitendo vya uvunjifu wa Amani na rushwa.
  2. one wisow

    Derby day Juni 15 Yanga itasafiri kucheza na Rayon sports Rwanda

    Ujinga ni mzigo. Usipokuja uwanjani simba bingwaaa very simple.
  3. one wisow

    Hivi mnauhakika Yanga SC wasipoleta timu uwanjani jun 15, TFF na Bodi Ya Ligi wanao uwezo Wa kuishusha daraja?

    Yanga atacheza ata kwa viboko. GSM awezi kubali apoteze mamilion ya kununua mechi alafu akose ubingwa kisa kucheza na simba
  4. one wisow

    Tetesi: Rufaa ya Yanga kule CAS imechanwachanwa

    Ingekua ya moto ingekuwa nusu fainali cafcl mda huu. Eti yanga ya moto, moto upi? Au kwa magoli ya kupeana na GSM family
  5. one wisow

    A: Mpanzu vs B: Pacome

    Mpanzu 1 Sawa na pakome 10
  6. one wisow

    Yanga tulegeze msimamo tucheze derby kama watakavopanga

    NYIE MBONA MNAOGOPA MBUZI. WANAUME WAZIMA MNAOGOPA MBUZI
  7. one wisow

    Iko siku Yanga italilia kucheza na Simba huu mchezo wanaogomea

    Yanga atapoteza kwa azam atapata sare Tabora. Simba atapata sare kwa singida na sare kwa jkt
  8. one wisow

    Simba hata ikitoa draw kule Misri nipigwe Ban ya siku 7. Haiwezekani hata kwa Dawa

    SIMBA NA YANGA ZIKIJIUNGA NA LIGI KUU YA MISRI NNE BORA HAZIINGII. ZITAANZIA NAFASI YA TANO NA KUENDELEA.
  9. one wisow

    Mashabiki wa Yanga walifuata nini uwanja wa Mkapa wakati Serikali inaongea na viongozi wao, mbona utoto mwingi sana?

    Mashabiki wa yanga ni WALEVI, MATEJA WAVUTA BANGI ,JOBLESS WAPO WAPO TU MAZEZETA HAWANA RATIBA YANI MAISHA YAO NI UNGA UNGA MWANA ,OYA OYA YAAN NI KICHEF CHEF
Back
Top Bottom