mkuu itake Radhi crdb..yaani hii bank inakuja juu haswa…yaan ipo vizuri sana…tena kwenye masuala ya uwekezaji wa hisa ndio usiseme…haipo taasisi ya fedha inayo fikia crdb kwa ukuaji wa kasi..
Binafsi naiombea sana Tanzania yangu…mpaka tulipofikia hapa…ni chizi tu labda ajitoe ufahamu kutojua tumefikaje hapa?
Ifike mahali tuamin kwamba kweli ccm ni chama chenye serikali kwa muda mrefu lakin nao wakiri kwamba kuna namna walichanga karata zao vibaya either kwa makusudi kwa kutumia...
kupitia uzi huu tu… utaona watu wengi sana hawajui vitu vingi sana kuhusu getezani…na wengi wanachanganya hivi vitu vitatu…hawajui tofauti ya gereza…korokoroni na mahabusu…ukivijua hivi vitu vitatu basi utawaelewa wale mahabusu…Gerezani chapati, biscuits, vinatoka wapi??? labda siku ya jumamosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.