pole sana, Kwaida wachawi ukiwa mgeni wanatabia ya kuchokoza watu wakupime kama unanguvu za kumsumbua au huna.
Ushauri wangu usisumbuane nao, Ukiweza hama kama hali itakuwa inajirudia rudia.
Mwisho nifollow nakufollow
Ni ushauri wa wahuni. Ambao wanatetea maslahi yao. Tatizo ni kuwa tumeweka nyuma Utaifa tumetanguliza mbele kula yetu. Sio rahisi, sio wataalam, wala wanausalama. Kigezo cha kuwa raisi awe Tajiri mwenye nguvu kiuchumi ni point kubwa sana.
kaaz kwel kwel Soda moja ina vijiko 12 vya sukari, bia moja ina kacalories mara dufu ya zilizopo kwenye sukari utachagua ufe na kipi. Vyote vina uwa figo vizur tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.