Siasa ya Tanzania ni matukio, mkipuyanga upinzani lazima watawasema tu, na upinzani wakipuyanga hadi matusi mtawatukana kuonesha furaha iliyopitiliza ila kimsingi mmepuyanga na ndo mda wa wapinzani kuwachokonoa na kuwakejeli, na mkae mkijua watanzania wanasubili hatma ya bashite.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.