Recent content by omy jr

  1. O

    Natafuta kiwanja

    Natafuta shamba au kiwanja cha laki 5 Dar au nje kidogo ya Dar
  2. O

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    je? kwa sisi wanafunz wenye mitaj midogo mfano 200000 ni biashara gan twaweza kufanya ambazo hazitaitaj mda mwing katika usimamiz ili niweze kupata mda mwingi wa kusoma shule yaani izo biashara zenye return nzuri
  3. O

    Tatizo la Ajira (zenye tija) nchini: Ripoti ya Benki ya Dunia na Mikakati ya Serikali ya Tanzania

    ahsante members ukosefu wa ajira n tatizo linalodhihirika pale nguvu kaz inapokosa sehem ya kazi wakati wa uhitaj.ili kuondoa ili tatizo yafuatayo yafanyike 1)mfumo wa elimu urekebishwe kulingana na specialization na vipaji toka ngazi ya chini yaan kindagarten na wahitimu wa ngaz...
  4. O

    Kwa waliochaguliwa ITA

    ni vigezo gani wamevitumia kuchagua wanafunz while baadhi ya wanafunz wenye ufaulu mzuri kwa michepuo ya hge wamenyimwa nafasi
Back
Top Bottom