Ukikuta mtu anamkashifu Mwalimu mchunguze vizuri na huenda anakotokea ni ukoo wa mazwazwa. Kumfharau Mwalimu ni kiwango Cha mwisho Cha upumbavu. Kupeleka watoto Kenya hakuna ulichosaidia labda uhamie kanisa huko maana Kila nchi Ina utamaduni wake.
Tukiwa na watu wajinga kama wewe ni hasara sana. Mbona nchi kama Misri ni jangwa na hakuna mvua lakini umeme haujawahi kukatika. Mfikie wakati muwe mnafikiri kabla ya kuandika takataka zenu humu.
Wanaochagua viongozi ni wananchi ambao ndio wenye dhamana ya kuweka viongozi madarakani vyama kazi yake ni kama dhamana tu hivyo hakuna aliye na haki ya kusoma mioyo ya wananchi na kujuwa watamkubali nani. Mtu akiingia madarakani bila ridhaa ya wananchi ambao Mungu huwatumia kuweka viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.