wha i see now ni kwmba washabiki wengi wa chadema mnataka turudi kwenye mfumo wa chama kimoja,maana hamtaki kusikia mtu kahamia ccm au kijana yuko ccm! jamani wakija wote chadema si ndo tutakuwa unarudi tena kwenye ule mfumo wa ndioooo ambazo kwa sasa zimepungua kutokana na challenge zinazoletwa...
zito its abt time to tell the world what z chadema,and their mission.naamin katika upinzan wa kimaendeleo unaouonesha na ambao ndio chanzo cha wao kukuchukia.umeshaifanyia mengi nchi hii na utakumbukwa daima.chadema si uwanja salama tena kwako kwa aina ya siasa uifanyayo ondoka kaka kajenge nchi...
aliyemkana mungu na kuacha kumhubir leo anaitwa chaguo la mungu!aliemtelekeza mke aliyepewa na mungu leo ni chaguo la mungu!aliyekua kinara wa migogoro na maaskofu leo ni chaguo la mungub! mtu anaelipwa mshahara mkubwa tofauti na rank za chama chake leo ni chaguo la mungu!dr alipoteza baraka za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.