Saddest point ni kuwa hawa wote wanaoyafanya haya huwa hawana muda wa kusoma vitu kama hivi (hata robo yake). Wangekuwa wanafanya hivyo basi hii nchi ingelikuwa mbali sana kimaendeleo.
TL hapiganii wanae, mkewe, shemeji zake au washikaji wapate upenyo wa kula rasilimali za nchi, na kikubwa...
Maamuzi mengine yapo yapo tu na wanaoyatoa huwa wanawaza siku wanayoishi bila kuiwaza kesho yao huku ajabu wakisoma references za miaka 150 iliyopita na wasijiulize wao watasomwaje hiyo miaka 100 ijayo!
Mfano ile kesi iliyomfunga Joseph Mbilinyi (Sugu) baadae ilikuwa posted kwenye mitandao na...
Nimetumia muda leo kusikiliza wimbo wa 'house of exile', nikaguswa zaidi na pale anasema
...."he had a home onetime"
...."for love of the national" ....a 'foregin country', ni ukonga au? maana ana nyumbani kwake
Bado naendelea kutafakari huyu mtu kakubali manyanyaso yote haya kwa nini...
Nilitokea tu kusikiliza maonngezi ya Polepole jana usiku, alisema mwandishi Balile aliingia mitini na natumaini atakuja kutufafanulia hilo (maana anajiita mwandishi nguli).
Na wale waandisshi wawili waliokuwa naye niliona wako na hisia zaidi za uchawa na wanaongelea zaidi watu/mtu badala ya...
Aisee! Hivi Division 5 bado ipo au inatumika division zero kama awali!?
Wanaoita katiba kijitabu unaweza kulinganisha na hili, katiba imara ni nchi imara na mfumo wa elimu sahihi ni ule wa kutoka chekechea hadi PhD. Sasa katika mfumo wa sasa ambao watu wanasoma PhD part time kwa miaka miwili ni...
Watu wengi katika kazi hasa za kuajiriwa na umma reasoning yao ni ndogo sana.
Sanasana hapo ukiwauliza watakwambia "sheria ndivyo inataka" na akitokea mwanasiasa kesho yake akaongea tofauti utassikia wote wanafuatishia hivyo. SGR ni domestic na scanner zina uwezzo wa kuona kitu cha hatari kuzidi...
Huu ndio msingi wa sisi kufika mbali ila kwa hapo ni kutendeneza umasikini zaidi.
Hii falsafa ya kumuondoa aliyekuzidi kwa kudhani wewe utakaa mahala pake imefanikiwa sehemu chache sana. Privileges zingetolewa kwenye mifumo kama leseni, mikopo nk
Kabisa. Walau badala ya kuendelea kucopy kauli za akina Che Guiara, Bob Marley, Luther King na wazungu wengine sasa tuna nukuu kutoka kwa shujaa wetu wenyewe na mwenye akili na vitendo
Bora wengine wazee wao wana umri kama huo huo na watoto wao wakifail au kuwekwa magereza bila kushitakiwa pressure wamezizoea na wanaishi! ...au wamekufa!?
Aisee!
Kwa hiyo na mahakama au mawakili wa dola inabidi waweke sheria na utaratibu pembeni ili watimizie unabii!? Au pale inapotakiwa kutumika AI mwaka 2025 tutumie methodology ya mwaka 1460, miaka 600 nyuma!?
Sisi watanzania weni wetu ni makatili sana, na bora ukatili huu tungeufanya ili kutetea chi yetu lakini ajabu ni kwa maslahi ya kimwili (material gain).
Laiti Lissu angeiba kura kupata uenyekiti basi ni haki watu kufanya wanayofanya lakini alichaguliwa wazi kabisa na sasa yuko jela basi...
Ni sawa, lakini hayo maslahi kweli yanapita hadhi ya mtu kufikia level ya ujaji!?
Ni heshima kubwa sana kimaadili kuwa judge, let us hope kwamba maslahi hayo ni ya kimaadili na si vyeo, nyumba, gari, mashamba, wanawake nk ambavyo hata ukiiweka kwenye malengo mwisho wake they all perish.
Angallia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.