Kupanda na kuporomoka kwa shilingi ni kawaida kabisa katika uchumi,lakini kwa sasa inaenda kuimarika,tafuta data za kuanzia wiki hii utaliona hilo.....
Sent from my iPhone using JamiiForums
Salam,wana jamvi la JF,nimekuwa kimya mda mrefu,bila kuchangia wala kusema chochote mda mrefu,nimejaribu kwenda kidogo nje ya box kutazama ni yapi yanaendelea na nini mwelekeo wa nchi yangu pendwa ya Tanzania.
Kwanza kabisa nimpongeze Rais wangu mpendwa John Joseph Magufuli alivyojipambanua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.