Recent content by omtare

  1. O

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa haraka

    Haipo google, ndo maana nikaomba msaada
  2. O

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa haraka

    Kwa anayeelewa kampuni ya CPTZN ya DSM chang'ombe inahusika na mambo gani, vision na mission. Maana kesho naenda kufanya interview.
  3. O

    JamiiForums Tanzania Pesa za walipa kodi zamjengea Mh. Vicky Kamata ghorofa la 3 bilion

    haya zaman ckuyaona kuimba wanawake na maendeleo ndo kapita ngaz zote hzo!! mbona lady jd anaimba kulko yeye na hajashika ubunge wa vt maalumu?? au kuna kitu kingine ambacho alikuwa anajishughulisha nacho naomba mnieleweshe wadau.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

    kweli ridhiwani yuko tofauti sana makongoro hivi kwa nini????? R.I.P MWL.NYERERE endelea ridhiwani kuponda pesa najua kelele za chura hazimtishi tembo kunywa maji ila jua SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.
  5. O

    JamiiForums Tanzania Mtu ukikutana na simba au chui ghafla porini tahadhari ni ipi?

    we chukua nguo kisha washa moto nasikia huwa wanatoka nduk cha muhimu ni kutembea na all sources of fire
  6. O

    JamiiForums Tanzania Mtuhumiwa wa mauaji ya wanafamilia Mwanza BUHONGWA akamatwa polisi wazidiwa nguvu

    kuuawa ni haki yake make mahakama zetu hazina adhabu stahiki.
Back
Top Bottom