PCI ya Tanzania: Dola 1,300 kwa mwaka ambayo ni sawa sawa na Dola 108 kwa mwezi ambayo ni kama Shilingi 278,000/- tu
Hii itabaki kuwa nadharia tu Kama ingekuwa kweli basi tusingekuwa na watu ambao wanakufa kwa njaa au kukosa hela kidogo ya matibabu
5. KUWA AGENT WA KUUZA BUNDLE ZA MITANDAO YA SIMU
👉 Hii ni njia rahisi sana, watu wengi hawajui kama unaweza kutengeneza pesa hapa.
Unakuwa wakala wa kuuza bundle za internet kwa marafiki zako, ndugu zako na wateja wengine.
Mfano:
👉 Bundle za internet za voda
👉 Bundle za sms
👉 Bundle za dakika...
Nilikuwa naangalia Citizen tv ya Kenya jinsi wabunge ndani ya bunge wavyowabana idara ya polisi kwa mauaji ya somebody.Ojwanq unaona kweli kunauwajibikaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.