Muda hausimami kwa ajili ya mtu yeyote.
Leo tunasema “bado nina muda”, kesho tunasema “ningejua…” Kila sekunde inayopita haijirudii tena. Pesa inaweza kupotea na ikapatikana tena, mali inaweza kuharibika na kujengwa tena, lakini muda ukishapita, haurudi.
Cha kushangaza zaidi ni kwamba...