Recent content by OMKEIT 93

  1. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Sio kweli
  2. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Kukaa bila kuoga Bwashee ukimuona mtu anasema kuoga sio lazima uyo mkimbie hao ndio wanaonuka boxer ni hatari
  3. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Nakuunga mkono bwashee hao ni wachafu huwezi kukaa siku nzima bila kuoga labda ukaishi polini uko
  4. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Nimerudi: Ban haikuwa haki, mods sikilizeni!

    Mr misifa
  5. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kijana tangu unazaliwa hadi unafika miaka 45 hujawai pata gonjwa la zinaa au hata U.T.I mshukuru mungu

    Kwahiyo unaweza kuwa na UTI na kipomo kikakudanganya ama ntakuwa sijaelewa?
  6. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kijana tangu unazaliwa hadi unafika miaka 45 hujawai pata gonjwa la zinaa au hata U.T.I mshukuru mungu

    Mke wangu anapata sana U.T.I lakini Mimi sijawahipo kuumwa huo ugonjwa
  7. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kijana tangu unazaliwa hadi unafika miaka 45 hujawai pata gonjwa la zinaa au hata U.T.I mshukuru mungu

    Kwamba ukifanya ngono na mwanamke mwenye U.T.I unaambukizwa?
  8. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mtu mmoja anakula sana lakini hana kitambi, mwingine anakula kidogo na ananenepa?

    Mimi naona hili jambo linachangiwa na kurithi maana kuna wengine wanajitesa kwa kujinyima na mazoezi juu lakini waaapi ukizubaa kidogo tu KITAMBI Hiko!
  9. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mtu mmoja anakula sana lakini hana kitambi, mwingine anakula kidogo na ananenepa?

    Kwahiyo watu wanene hawali lishe Bora?
  10. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mtu mmoja anakula sana lakini hana kitambi, mwingine anakula kidogo na ananenepa?

    Kuna jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu. 🤔 Watu wawili wanaweza kula chakula kinachofanana, lakini matokeo yakawa tofauti kabisa. Mmoja anakula wali, nyama, chipsi, soda, vitafunwa na hata kula usiku, lakini miaka inapita bado ni mwembamba na hana kitambi. 😂 Mwingine anajitahidi...
  11. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Unene, kuwa kibonge ni ishara ya kula hovyo na uvivu

    Kwahiyo wote walio wanene ni wazembe na kwamba wanakula sana?
  12. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Muda Haumsubiri Mtu

    Kwahiyo famili ni kwaajili ya matajiri ama !
  13. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Muda Haumsubiri Mtu

    Muda hausimami kwa ajili ya mtu yeyote. Leo tunasema “bado nina muda”, kesho tunasema “ningejua…” Kila sekunde inayopita haijirudii tena. Pesa inaweza kupotea na ikapatikana tena, mali inaweza kuharibika na kujengwa tena, lakini muda ukishapita, haurudi. Cha kushangaza zaidi ni kwamba...
  14. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Katika mda ambao kijana unatakiwa utafute pesa nini sasa.

    Uzi tayari!🤔
Back
Top Bottom