Mwanamke ni kama siraha tu inaweza kukulinda ama kukuangamiza ni jinsi gani vile utakavyo ishi nae tu,
Wapo walio oa masikini na vipato vyao vikapanda na wapo walio oa matajiri wakayumba!!
Kumekuwa na kauli inayorudiwa mara kwa mara kwamba sababu ya Afrika kutokuendelea ni dini, na mara nyingi hoja hiyo hulenga zaidi Uislamu. Lakini je, hoja hiyo ina uzito wa kutosha inapochunguzwa kwa kina?
1. Kwanza, tujiulize: maendeleo ni nini?
Maendeleo si suala la dini pekee wala kutokuwa...
Miongoni mwa sifa ambazo Mwenyezi Mungu amezitaja kuhusu mwanadamu katika Qur'an ni tabia ya kusahau neema na kupunguza shukrani kwa Muumba wake. Allah amesema:
﴿إِنَّ الْإِنسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ﴾
"Hakika mwanadamu...
Swali la msingi si kama Issa (Yesu) alibatizwa, bali ubatizo huo ulikuwa na maana gani?
Kwa mujibu wa Injili, Yesu alibatizwa na Yohana Mbatizaji. Lakini Wakristo wenyewe wanaamini Yesu hakuwa mwenye dhambi. Sasa ikiwa ubatizo ulikuwa wa kutubu dhambi, Yesu alikuwa anatubu dhambi gani ilhali...
Mtu akitoa hoja yake kuhusu jambo Fulani haimaanishi anataka mabishano, kama unapinga hoja yake basi Pinga kwa hoja na ushaidi, chaajabu mtu analeta mipasho na matusi ! Unategemea Nini?
Moja ya mambo yanayoonyesha udhaifu wa hoja ni mtu kushindwa kujibu hoja kwa ushahidi na badala yake kukimbilia matusi, kejeli, mipasho au maneno ya mkato mkato.
Mtu anapoletwa hoja yenye dalili, ushahidi na mantiki, anatakiwa aidha:
Aikubali ikiwa ni ya kweli.
Ailetee hoja mbadala yenye...
Kusema Yesu alikuwa Myahudi hakupingi Uislamu kabisa, kwa sababu hata Mitume wengi kabla yake walitumwa kwa wana wa Israil.
Swali la msingi sio “alikuwa wa kabila gani?” bali “alifundisha nini?”
Je, Yesu aliwaita watu wamwabudu yeye au Mungu mmoja?
Kwenye Injili Yesu alisema: “Msikie Israeli...
Watu wengi hujiuliza: Je, Nabii Issa bin Maryam (Yesu) alikuwa Mkristo?
Swali hili linahitaji kufafanuliwa kwa elimu, mantiki na ushahidi wa kweli kutoka katika Qur-aan na hata maandiko yanayohusishwa na Wakristo.
Ukweli ni kwamba:
Issa bin Maryam (Yesu) hakuwa Mkristo, bali alikuwa Muislamu...
Watu wengi hudhani mafanikio yanapatikana kwa kupiga kelele, kutangaza kila hatua na kueleza kila mipango yao kwa kila mtu. Lakini Uislamu umetufundisha hekima kubwa sana katika kulinda neema na mafanikio yetu.
Mtume ﷺ amesema:
«اسْتَعِينُوا عَلَىٰ إِنْجَاحِ الْحَوَائِجِ بِالْكِتْمَانِ، فَإِنَّ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.