Kama kamera inaonyesha upande mmoja tu wa tukio, tunajuaje upande ambao haukuonyeshwa?
Je, habari inaweza kuwa ya kweli lakini bado ikampotosha mtazamaji kwa kuacha baadhi ya ukweli?
Nani anaamua tukio gani liwe headline na lipi lisitajwe kabisa?
Je, kurudia habari moja mara 100 kunaweza...
“Kama mnachomaanisha ni kwamba mchakato wa hisia kama kupenda, kuchukia, hofu na furaha unahusisha ubongo, hapo nakubaliana nanyi. Neuroscience inaonyesha wazi kwamba ubongo una jukumu kuu katika kutengeneza na kuchakata hisia.
Lakini kusema ‘hisia ziko kwenye ubongo, kwa hiyo moyo hauna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.