Recent content by OMKEIT 93

  1. OMKEIT 93

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako.

    Naunga mkono hoja upo sahihi!!!!
  2. OMKEIT 93

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Mwanamke ni kama siraha tu inaweza kukulinda ama kukuangamiza ni jinsi gani vile utakavyo ishi nae tu, Wapo walio oa masikini na vipato vyao vikapanda na wapo walio oa matajiri wakayumba!!
  3. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, hii ndiyo sababu ya Afrika kutokuendelea

    Kumekuwa na kauli inayorudiwa mara kwa mara kwamba sababu ya Afrika kutokuendelea ni dini, na mara nyingi hoja hiyo hulenga zaidi Uislamu. Lakini je, hoja hiyo ina uzito wa kutosha inapochunguzwa kwa kina? 1. Kwanza, tujiulize: maendeleo ni nini? Maendeleo si suala la dini pekee wala kutokuwa...
  4. OMKEIT 93

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moja ya sababu kubwa ya mahusiano kuvunjika ni wanaume kuwa na wanawake wanaotoka kwenye familia za kimasikini sana (Absolute poverty)

    Kwahiyo wanawake masikini hawafai kuolewa?
  5. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hakika mwanaadam ni mtovu wa shukrani kwa Mola wake

    Miongoni mwa sifa ambazo Mwenyezi Mungu amezitaja kuhusu mwanadamu katika Qur'an ni tabia ya kusahau neema na kupunguza shukrani kwa Muumba wake. Allah amesema: ﴿إِنَّ الْإِنسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ ۝ وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ ۝ وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ﴾ "Hakika mwanadamu...
  6. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hoja haijibiwi kwa kejeli, hujibiwa kwa hoja

    Nimekuuliza swali lako Lina logic gani? Sijakwambia halina logic elewa swali!!!!
  7. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hoja haijibiwi kwa kejeli, hujibiwa kwa hoja

    Kwani wewe Hilo swali lako Lina logic gani?
  8. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hoja haijibiwi kwa kejeli, hujibiwa kwa hoja

    Swali la msingi si kama Issa (Yesu) alibatizwa, bali ubatizo huo ulikuwa na maana gani? Kwa mujibu wa Injili, Yesu alibatizwa na Yohana Mbatizaji. Lakini Wakristo wenyewe wanaamini Yesu hakuwa mwenye dhambi. Sasa ikiwa ubatizo ulikuwa wa kutubu dhambi, Yesu alikuwa anatubu dhambi gani ilhali...
  9. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hoja haijibiwi kwa kejeli, hujibiwa kwa hoja

    Mtu akitoa hoja yake kuhusu jambo Fulani haimaanishi anataka mabishano, kama unapinga hoja yake basi Pinga kwa hoja na ushaidi, chaajabu mtu analeta mipasho na matusi ! Unategemea Nini?
  10. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hoja haijibiwi kwa kejeli, hujibiwa kwa hoja

    Moja ya mambo yanayoonyesha udhaifu wa hoja ni mtu kushindwa kujibu hoja kwa ushahidi na badala yake kukimbilia matusi, kejeli, mipasho au maneno ya mkato mkato. Mtu anapoletwa hoja yenye dalili, ushahidi na mantiki, anatakiwa aidha: Aikubali ikiwa ni ya kweli. Ailetee hoja mbadala yenye...
  11. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa

    Kusema Yesu alikuwa Myahudi hakupingi Uislamu kabisa, kwa sababu hata Mitume wengi kabla yake walitumwa kwa wana wa Israil. Swali la msingi sio “alikuwa wa kabila gani?” bali “alifundisha nini?” Je, Yesu aliwaita watu wamwabudu yeye au Mungu mmoja? Kwenye Injili Yesu alisema: “Msikie Israeli...
  12. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa

    Watu wengi hujiuliza: Je, Nabii Issa bin Maryam (Yesu) alikuwa Mkristo? Swali hili linahitaji kufafanuliwa kwa elimu, mantiki na ushahidi wa kweli kutoka katika Qur-aan na hata maandiko yanayohusishwa na Wakristo. Ukweli ni kwamba: Issa bin Maryam (Yesu) hakuwa Mkristo, bali alikuwa Muislamu...
  13. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Jisaidieni kufaulu haja zenu kwa kuficha mipango yenu nyeti

    Pole sana yaonyesha unauchukia uislamu!
  14. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Jisaidieni kufaulu haja zenu kwa kuficha mipango yenu nyeti

    Watu wengi hudhani mafanikio yanapatikana kwa kupiga kelele, kutangaza kila hatua na kueleza kila mipango yao kwa kila mtu. Lakini Uislamu umetufundisha hekima kubwa sana katika kulinda neema na mafanikio yetu. Mtume ﷺ amesema: «اسْتَعِينُوا عَلَىٰ إِنْجَاحِ الْحَوَائِجِ بِالْكِتْمَانِ، فَإِنَّ...
  15. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Yaani nyinyi ni kweli Kila siku mlikuwa mkienda kumuona mama yake hospital ? 😄
Back
Top Bottom