Recent content by OMKEIT 93

  1. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Sisi wa bongo atuthamini muda hiyo Hali ipo kwa watu wengi sana!!
  2. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je Media inatuambia ukweli au inatuamulia tukubali ukweli upi?

    Kama kamera inaonyesha upande mmoja tu wa tukio, tunajuaje upande ambao haukuonyeshwa? Je, habari inaweza kuwa ya kweli lakini bado ikampotosha mtazamaji kwa kuacha baadhi ya ukweli? Nani anaamua tukio gani liwe headline na lipi lisitajwe kabisa? Je, kurudia habari moja mara 100 kunaweza...
  3. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Kama unataka kuwa mtumwa kaoe familia ya kitajiri
  4. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Halafu kuna kajamaa humu ndani alisema tusioe wanawake masikini
  5. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    Kitakacho kuzuia usipate ukimwi ni kuacha uzinzi bwashee sio kutumia kondomu mbona mnaamini vitu vya kijinga aisee🤔
  6. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    Ushadanganywa bwashee kondomu haizuii ukimwi😄
  7. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, akili inaweza kuudhibiti moyo?

    Sasa kwanini waseme kwamba hisia zinatoka kwenye ubongo?
  8. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    Bwashee aliyekuambia kuwa kondomu inazuia ukimwi ni nani? Acheni uzinzi huo ni uchafu!
  9. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Sawa bwashee wewe una AKILI nyingi endelea kulewa😄
  10. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Zikutoke kwanza izo pombe
  11. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Ndio maana una kichwa ngumu sana huelewi hoja pole sana
  12. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Kumbe we ni mlevi aisee 🤔
  13. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, akili inaweza kuudhibiti moyo?

    “Kama mnachomaanisha ni kwamba mchakato wa hisia kama kupenda, kuchukia, hofu na furaha unahusisha ubongo, hapo nakubaliana nanyi. Neuroscience inaonyesha wazi kwamba ubongo una jukumu kuu katika kutengeneza na kuchakata hisia. Lakini kusema ‘hisia ziko kwenye ubongo, kwa hiyo moyo hauna...
  14. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli moyo ndio unapenda.?

    Naam namvizia mtu fulani alopoke hapa😄
  15. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli moyo ndio unapenda.?

    Nasoma coment
Back
Top Bottom