Recent content by omkalendelo

  1. omkalendelo

    Naomba kufahamu tabia za Wanawake wa kikurya.

    Nilkuwa na mchumba wangu mkurya antena wamekata hana hisia hata umuandae vp ukianza kupiga show dk chache anakauka mpk tumeachana
  2. omkalendelo

    Kwa Mara ya kwanza nimepata demu anaekuja Kwa nauli yake

    Kigamboni_Teneke 700 Temeke_kinyerezi 700=1400
  3. omkalendelo

    Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Acha bhana huyu jamaa ana kazi yake nzuri na nimpambanaji haswa kaanzia Tata mpk zile higer uchawi hapo hauusiki
  4. omkalendelo

    Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Jamaaa wew una ubishi wa kijinga kabsa hivi vitu vipo na vimetokea sana mi nina mfano halisi kijijini kwetu Maswa walikuwa wanatengeneza barabara kuna sehemu walikuwa wameielekeza ipite kulikuwa na miti ya bibi mmoja mikubwa walijaribu kuing'oa mpk zile Caterpillar zikawa znaharibika mpk...
  5. omkalendelo

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Mbona feki hizi
  6. omkalendelo

    Hisense 32nchi smartTV 350k tu

    Acha uongo bei ya jumla ndo 330k na penyew uchukue pc kadhaa
  7. omkalendelo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wale ndo itakuwa bc tena watachukuaa uraia hk walikohamia
  8. omkalendelo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Naulizia. Wakuu eti smart tv ina Bluetooth Nimenunua Hisense 43 smart
  9. omkalendelo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Chukua 250 nipo mbez mwisho
  10. omkalendelo

    Aliyekutwa na Fuvu, Sehemu za Siri 5 za Binadamu afutiwa kesi

    Mm mwenyew ndo bado cielew alikuwa anayatumia kivip
  11. omkalendelo

    Aliyekutwa na Fuvu, Sehemu za Siri 5 za Binadamu afutiwa kesi

    Zilikuwa zimekaushwa matiti vingine cjui
  12. omkalendelo

    Aliyekutwa na Fuvu, Sehemu za Siri 5 za Binadamu afutiwa kesi

    Hakuna cha ndumba wala nn huyu dogo napajua hadi kwao kijijini kwetu Mwamitumai nimemaliza f4 2012 nikamuacha f1 kwao hawana kitu kwanza Baba yake alifariki kwa pressure baada ya dogo kukamatwa na hakuna hata mmoja aliyekuwa anamshughulikia atoke bahati tu imemuangukia
Back
Top Bottom