Recent content by Omax oppa

  1. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mtu mzito mimi nina swali hivi ni kitu gani husababisha mtu ghafla tu unaanza kukumbuka tukio/mambo yaliyokutokea pengine miaka hata kumi iliyo pita tena kumbukumbu inakujia tu ghafla bila ya kutarajia na unaanza kulikumbuka/kuyakumbuka matukio mwanzo had mwisho,, na si mara moja hii hali...
  2. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Chumvi (kiungo cha chakula) ina uhusiano gani na mambo ya kinganga na uchawi
  3. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Jibu la hili swali lipo page ya ngapi mbona halionekani
  4. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Jibu la hili swali lipo page ya ngapi mbna halionekani
  5. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Asante nashukuru nimekuelewa mkuu.
  6. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mkuu mtu mzito nina swali napenda kuuliza hivi, hivi ni kwanini mtu unakuwa na imani juu ya mungu, namaanisha unakuwa ni mtu wa maombi, kusali saana, na hata kufunga kwa maombi kwa mwenyezi mungu kutokana na dini yako,, alaf ghafla pini misukosuko/matatizo yanapokuandama katika maisha unageuka...
  7. Omax oppa

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    Asante ndugu nashukuru nimesha uona huo uzi.
  8. Omax oppa

    Mwanzo wa meditation

    Asante sana ndugu nimekupata ubarikiwe
  9. Omax oppa

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    Sahihi ndiyo kusudi langu kujua meditation
  10. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Habari mtu mzito,mimi nauliza hivi unakuta upi katikati ya mji au sehemu ambapo ni mkusanyiko wa watu/mjini, ghafla nyuki mmoja tu anaanza kukufuata na hii si mara moja je hii huashiria nini mkuu?
  11. Omax oppa

    Sifa za kujiunga na jeshi la polisi

    Habari za muda huu ndugu zangu, naomba mwenye ufahamu na mafunzo ya jeshi la polisi, yaani ni sifa gani zinazohitajika kwa mtu anayetaka kujiunga na mafunzo ya jeshi la polisi, swali la pili ni muda gani mafunzo hayo huchukua had kuhitimu na swali la tatu ni mara ngapi kwa mwaka watu wenye sifa...
  12. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Je hucheza kwa kope ya jicho humaanisha kitu gani
  13. Omax oppa

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Mkuu napenda saana kujua wachaga wanamwamini mungu yupi maana wameshika saana dini ila bado wanarudi kwao kutambika.
  14. Omax oppa

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    Habari zenu ndugu,jamaa na marafi. Nimekuja hapa kwa lengo moja tu, ni hivi ni mara nyingi saaana nimekuwa nikisikia hata kusoma maada mbalimbali zinazo husu ""Tahajudi"" nami nimekuwa na shauku ya kutaka kujifunza juu ya haya mambo, Ni ombi langu kwa mwenye kujua namna ya kufanya Tahajudi...
  15. Omax oppa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Nimesha kujibu tayar mkuu
Back
Top Bottom