Mtu mzito mimi nina swali hivi ni kitu gani husababisha mtu ghafla tu unaanza kukumbuka tukio/mambo yaliyokutokea pengine miaka hata kumi iliyo pita tena kumbukumbu inakujia tu ghafla bila ya kutarajia na unaanza kulikumbuka/kuyakumbuka matukio mwanzo had mwisho,, na si mara moja hii hali...
Mkuu mtu mzito nina swali napenda kuuliza hivi, hivi ni kwanini mtu unakuwa na imani juu ya mungu, namaanisha unakuwa ni mtu wa maombi, kusali saana, na hata kufunga kwa maombi kwa mwenyezi mungu kutokana na dini yako,, alaf ghafla pini misukosuko/matatizo yanapokuandama katika maisha unageuka...
Habari mtu mzito,mimi nauliza hivi unakuta upi katikati ya mji au sehemu ambapo ni mkusanyiko wa watu/mjini, ghafla nyuki mmoja tu anaanza kukufuata na hii si mara moja je hii huashiria nini mkuu?
Habari za muda huu ndugu zangu, naomba mwenye ufahamu na mafunzo ya jeshi la polisi, yaani ni sifa gani zinazohitajika kwa mtu anayetaka kujiunga na mafunzo ya jeshi la polisi, swali la pili ni muda gani mafunzo hayo huchukua had kuhitimu na swali la tatu ni mara ngapi kwa mwaka watu wenye sifa...
Habari zenu ndugu,jamaa na marafi. Nimekuja hapa kwa lengo moja tu, ni hivi ni mara nyingi saaana nimekuwa nikisikia hata kusoma maada mbalimbali zinazo husu ""Tahajudi"" nami nimekuwa na shauku ya kutaka kujifunza juu ya haya mambo, Ni ombi langu kwa mwenye kujua namna ya kufanya Tahajudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.