Ikiwa kama huwez kuchangia maneno ya kishog hayatakiwi, nimesema kwa anaeelewa,watu kama nyiyi ndio mnapenda mtu aseme maneno mabaya ikiwa huwez changiya ,utumbo mafumbo, peleka fb ,UMENIELEWA ?
Kwa anaefaham na wale wenyeji wa sehemu hizi naomba majibu kuhusu ndugu zetu waliopata nafas kule vp washaanza kozi au bado kwa wenye kufaham naomba kujuilishwa wakuu.
Nafas kidogo wapiga interview kibaooo eti elf 50 wizi mtupu mi mwenyewe washawahi kunipiga uarabuni pelekeni jamaa zenu kama kuzur au anza kwenda ww kama kuna maslah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.