omar khanmis makame
Member
- Aug 11, 2017
- 60
- 28
- Thread starter
- #21
Kambi ipi kati ya izo iliyoanza kozi?Mbili tu.... Msata na Oljoro
Kambi ipi kati ya izo iliyoanza kozi?Mbili tu.... Msata na Oljoro
Itakuwa oljoro hao msata badoKambi ipi kati ya izo iliyoanza kozi?
Asante sana kwa majib yk mazurItakuwa oljoro hao msata bado
Hakuna mahali kulikoanza kozi mpaka sasaAsante sana kwa majib yk mazur
Kwa anaefaham na wale wenyeji wa sehemu hizi naomba majibu kuhusu ndugu zetu waliopata nafas kule vp washaanza kozi au bado kwa wenye kufaham naomba kujuilishwa wakuu.
Povu ni halali yako maana matapeli wameshakufanyia mambo.Ikiwa kama huwez kuchangia maneno ya kishog hayatakiwi, nimesema kwa anaeelewa,watu kama nyiyi ndio mnapenda mtu aseme maneno mabaya ikiwa huwez changiya ,utumbo mafumbo, peleka fb ,UMENIELEWA ?
kaulza tu hata kma anampango wa kwenda anaweza kwenda tu jeshi halna formula...cfa mbuyu tuu...kajamba nan kma mm tutasubur xana!!!Povu ni halali yako maana matapeli wameshakufanyia mambo.
Hahahahaaaaaa!!!!!kaulza tu hata kma anampango wa kwenda anaweza kwenda tu jeshi halna formula...cfa mbuyu tuu...kajamba nan kma mm tutasubur xana!!!
Dodoma makutupora. Iringa mafinga na oljoro arushaUnaweza nambia kuna kambi ngap wanazopiga mara hii jwtz?
kwan naongopa mkuuHahahahaaaaaa!!!!!
Mafinga imerudushwa lini kufanyia kozi ya TPDF??Dodoma mara ya mwisho ilikuwa 2012 au 2013Dodoma makutupora. Iringa mafinga na oljoro arusha
Sijui mkuu mimi raia tu hayo mambo nitayajuaje??kwan naongopa mkuu
mmh! kwan mm ni askar...acha kuzngua au shushushu wwSijui mkuu mimi raia tu hayo mambo nitayajuaje??
mmh! kwan mm ni askar...acha kuzngua au shushushu ww...naipenda xana hyo kaz ila cfanikiwi Magu nionee huruma kijana wakoSijui mkuu mimi raia tu hayo mambo nitayajuaje??
Mimi RAIA wa kawaida sijui hayo mambo yenu ya ushushummh! kwan mm ni askar...acha kuzngua au shushushu ww
Wapo humu mkuu watakutafuta ili waone kama unawafaa ila kwanini unapenda hayo mambo??mmh! kwan mm ni askar...acha kuzngua au shushushu ww...naipenda xana hyo kaz ila cfanikiwi Magu nionee huruma kijana wako
hii ni kma wito kaka na ndo ndoto yangu tangu nijtambue...napenda xana kuwa mwanajeshi...xema cna connection tena cna mwelekeo wowote,cna hela ili nixaidiwe,tena naumia navyoambiwa kuwa mkono mtupu haurambwi...plz kaka kma kuna uwezekano npgen tafu kma VP mshaara wangu wa kwanza mchukue tu ,nachet cha jkt mujbu,nahtaj kuwa mlinz ila wa nchi...npo rashi n2mikie jeshi langu hata bure,;!;!!!Wapo humu mkuu watakutafuta ili waone kama unawafaa ila kwanini unapenda hayo mambo??
Bila shaka wahusika wamesoma maandiko yako wakipenda watakupa muelekeo mungu akubariki katika harakati zako kijana mwenzanguhii ni kma wito kaka na ndo ndoto yangu tangu nijtambue...napenda xana kuwa mwanajeshi...xema cna connection tena cna mwelekeo wowote,cna hela ili nixaidiwe,tena naumia navyoambiwa kuwa mkono mtupu haurambwi...plz kaka kma kuna uwezekano npgen tafu kma VP mshaara wangu wa kwanza mchukue tu ,nachet cha jkt mujbu,nahtaj kuwa mlinz ila wa nchi...npo rashi n2mikie jeshi langu hata bure,;!;!!!
Kama unapenda kufanya kazi bure anza sasa hapo ulipo imarisha ulinzi.. Inaitwa ulinzi shirikishi.hii ni kma wito kaka na ndo ndoto yangu tangu nijtambue...napenda xana kuwa mwanajeshi...xema cna connection tena cna mwelekeo wowote,cna hela ili nixaidiwe,tena naumia navyoambiwa kuwa mkono mtupu haurambwi...plz kaka kma kuna uwezekano npgen tafu kma VP mshaara wangu wa kwanza mchukue tu ,nachet cha jkt mujbu,nahtaj kuwa mlinz ila wa nchi...npo rashi n2mikie jeshi langu hata bure,;!;!!!