Hapo ndipo ulipoongea ukweli usiopingika nashangaa nivipi mtuanaingalia picha yakemwenyewe nakesha kukataa nakusema sio yeye ! hao hawana ajendatena zimebaki story tu !!
sasa hapo mnafiki nani maana hao ukawa walikataa nawakasema.hawatoshiriki kikao chochote leo wamekwenda ikulu namakoti yao kama vifaranga vingonjwa ! ikulu kutamu hatakama utaalikwa itakua ushaingia ikulu !! hao wazushi tu !!
kwani hilibunge linachambua hoja zawaislam na waliokua siwailam? ukawa alibakia mmoja
pengine alikua hajapata njia yakutoka tu !alipopata ndio.hivo tena !baada ya kushiba ndio anasema chakula kibichi ??
Tatizonikutoka zanzibar nasio.watu kidogo kuongoza wengi ! Kumbekweli chadema hua haijali sana watukule zanzibar lakini ingekua katoka moshi a arusha nisawa tu !! Ukabila haumalizi nandio utakao umaliza chadema
Umeongea neno hapo ! Maana walisema hawatakikakaochochote cha maridhiano ! Lakini nawaona navisuti vyao hapo kama vifaranga vigonjwa mbio wametinga ikulu !! Huomjengo unawauwa watu kweli !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.