Recent content by olwaru

  1. O

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Hivi Ttcl mna mpango wa kutoa huduma hapa Arusha Olasiti? Ni kama vile hampo kabisa.
  2. O

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Jamani voda kuna shida gani? Hapa maeneo ya Olasiti Arusha mtandao ni shida hasa kwa upande wa data.Signal ziko chini sana.Hili tatuzo ni la muda mrefu.
  3. O

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Hii thread ya nini?kama hamtoi majibu ya kero zetu?
  4. O

    Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

    Hili sasa limekuwa tatizo hata wanaowekeza kwenye sekta ya elimu wanapendelea kuwekeza zaidi kwenye shule za mtoto wa kike.Nyakati hizi ukitafuta shule bora ya wavulana ni shida.Tunahamisha tatizo kwenda upande wa pili badala ya kulitatua.
  5. O

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Ttcl mpo? Mnadai nyumbani kumenoga turudi lakini tukirudi mambo nitofauti kabisa.Sehemu nyingi huduma zenu ni duni kabisa.mtandao haupatikani,hebu nenda arusha,hapo olasiti tu ni mjini kabisa lakini hamna kitu.Hili ni shirika la uma fanyeni kitu tuwaunge mkono ni shirika letu hili,mnakwama wapi?
  6. O

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Hivi voda arusha mko wapi? Yaani olasiti mtandao wenu ni shida. Hasa upande wa data. Hebu fanyeni kitu,,tuone mabadiliko.
  7. O

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco tunaomba mnapokuwa na katizo la umeme mtoe taarifa kwa wateja jana kutwa nzima eneo lote la olasiti arusha hatukuwa na umeme. Hebu badilikeni muwe kibiashara jamani.
Back
Top Bottom