Do!
Uganda ni mali ya familia ya Museven. Na tayari CDF wa Uganda ambaye ni mtoto wa M7 kaisha andaliwa kurithi madaraka.
Kufanya uchaguzi ni maigizo tu.
Yaani kifo cha nyani, miti yote utereza.
Inawezekana wako kwenye nyakati zao za mwisho madarakani.
Si jambo la kawaida watu wenye akili ya kawaida kapanga mipango ya kipumbavu kama hii.
Hawa watu 100 si wakatoliki bali ni aina ya watu walewale waliokuwa wakilipwa 5k kuhudhuria mikutano.
Kwakweli matatizo ya nchi hii ni mengi kama mtoa mada alivyo ya ainisha.
Hivi vyombo vyote (TISS, POLICE, TAKUKURU, MAHAKAMA, BUNGE n.k) havitenganishwi na serikali iliyoko madarakani.
Bila kubadili katiba na kureview madaraka ya Rais nchi itaendelea kuelekea papaya zaidi.
Mkatoliki gani "Zero brain"
Pandikizi la watesaji.
Hujitambui, hata hoja zinazozungumzwa na maaskofu huzielewi.
Maana ulitakiwa kuweka wazi ni siasa zipi zenye mlengo mbaya kwa maslahi ya taifa zinazungumzwa na maaskofu.
Ni hoja dhaifu kujadili, mleta mada ulitakiwa kuchambua hoja za TEC zenye kuchochea udini, fujo, vurugu na uvunjifu wa amani.
Kwahiyo hapa hamna hoja ya kujadili ni upupu tu.
Kuna mto mkubwa wa Rufiji unamwaga maji yake bahari ya Hindi, kwanini usiwe source ya maji kwa jiji la Dar es salaam kama mto Ruvu miaka nenda miaka rudi umeshindwa kukidhi mahitaji,
Na kama awamu zote za uongozi wa Nchi hii ya Tanzania, hili tatizo la maji lipo tunawezaje kujivunia rasilimali...
Vyombo vya habari bongo vinafanya kazi kwa maelekezo ya watawala. Haviko huru kufanyakazi wanayotakiwa kufanya. Wananchi tunatakiwa kuvisusia, kama ni habari tutaendelea kuzipata mitandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.