Recent content by Olsea

  1. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Shukrani.
  2. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Hah hah sinunui nabadilisha Mkuu.
  3. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Shukran Mkuu,japo hizi T 240 gear knob yake imekaa kizamani sana labda upate ile X yenye zig zag gear.
  4. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Kweli Mkuu..interior ya Premio new model (T260) naona ipo kisasa zaidi,hizi gari nashangaa bei ipo juu sana sijui kwanini namba D tu bei zipo juu sana..nachukua ushauri wako Mkuu.
  5. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Second generation body ni mpya kabisa japo imerudiwa rangi ila huwezi jua mpaka uambiwe,new model body kwenye mabampa linahitaji kurudiwa rangi au iruduwe rangi gari nzima ili ikae standard kabisa..kwenye engines na transmission zote zipo vizuri..naomba recommendation yako Kiongozi ili nifanye...
  6. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Habari wakuu,naombeni ushari nilikuwa na gari aina ya toyota belta nataka kubadilisha na nimepata toyota premio second generation (T240) namba E engine 1NZ na nyingine ni toyota Premio new model (T260) namba D engine 2ZR...je nichukue ipi kati ya hizo gari mbili ikiwa bajeti zao hazipishani sana?
  7. Olsea

    JamiiForums Tanzania Peugeot 504 kuja kivingine 2026

    Nazipenda sana gari za Peugeot,hasa postion wanayoweka dashboard zao zinakuwa juu kidogo ya steering,inakuwa haijifichi chini kama gari nyingine.
  8. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya ku activate locking/unlocking bee sound.

    Security system ni Toyota Mkuu na fubguo n zile zenye button 2..nimejaribu options zote ulizozitaja naona bado.
  9. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya ku activate locking/unlocking bee sound.

    Habari wakuu,nina gari aina ya Toyota Belta X niki lock kwa kutumia remote yake ina flash taa za indicator mara 1 na nikitoa lock ina flash taa za indicator mara 2 kimya kimya bila kutoa sauti ya ku beep ya aina yoyote,naomba kujuzwa namna ya ku activate iwe ina beep nikiweka lock au kutoa...
  10. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada muda wa kubadili oil kwenye gari.

    Ni kweli Mkuu,nimefungua bonet ya hii gari nimekuta maandishi yana recommend kuwa oil ibadilishwe kila baada ya kilomita 15,000...nafikiri nitabadili soon ila ukwel oil iliyopo bado ni mpya kabisa.
  11. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada muda wa kubadili oil kwenye gari.

    Habari wakuu,nina gari yenye engine 2sz nilimwaga oil na kubadili oil filter ikiwa na kilomita 95,000 fundi akaandika kwenye service card kuwa natakiwa kumwaga tena ikifika kilomita 98,000.Sasa jana ndyo gari imefikisha hizo kilomita ila leo nimeangalia oil bado ipo vile vile kama mpya ikiwa na...
  12. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msada taa ya nyuma

    Shukran sana Mkuu
  13. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msada taa ya nyuma

    Ipo Mkuu,basi tu
  14. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msada taa ya nyuma

    Habarini wadau,naomba msaada kwa yeyote ambae anaweza kuwa na mawasiliano ya sehemu ambayo naweza nikapata taa ya nyuma upande wa dereva ya gari aina ya Toyota Belta,leo nimejikuta nagonga mti wakati narudi nyuma.Natanguliza shukran kwa yeyote atakaesaidia.
  15. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu Aliexpress

    Unaweza ukawa na namba zao kaka
Back
Top Bottom