Huku nimeambiwa hadi taarifa itumwe ndyo mita mpya isajiriwe halafu iletwe ikifika ndyo watakuja kufunga..sasa hapa nawaza huo mlolongo naona kabisa sio issue ya leo wala kesho.
Habari wadau wa jukwaa la Tech,juzi ilinyesha mvua kubwa na radi iliyopelekea umeme kukatika.Cha ajabu umeme ulivyorudi kwangu uligoma kabisa ikabidi kuwaita TANESCO kuangalia wakadai mita imeharibika mpaka kubadilisha kuwauliza watakuja lini kubadili sio chini ya siku 10..hapa nawaza namna ya...
Wakuu na mm msaada,juzi kulikuwa na mvua kubwa radi iliyopelekea umeme kukatika,cha ajabu ulivyorudi kwangu umegoma kabisa kurudi zaidi ya siku mbili kuwaita TANESCO kuangalia wanadai mita imekufa mpaka waje kubadili tena itafanyika baada ya zaidi ya wiki..hakuna alyewah kutana na hii changamoto...
Habari zenu Wakuu natumaini muwazima…kuna hii gari inaitwa Nissan bluebird yenye 1490cc,nilikuwa naomba kwa yeyote anayeijua je ni nzuri kwa kuzingatia upatikanaji wa spares na matumizi ya mafuta?
Sikonge Tabora umeme ulikatika jumamos saa 2 usiku umekuja kurudi leo jumatatu saa 1 jion na ilipofika saa 3 usku umekata tena,imagine toka jumamos umeme haujaonekana mpaka leo jumatatu si hatari hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.