Recent content by Olsea

  1. Olsea

    Msaada mita ya TANESCO

    Huku nimeambiwa hadi taarifa itumwe ndyo mita mpya isajiriwe halafu iletwe ikifika ndyo watakuja kufunga..sasa hapa nawaza huo mlolongo naona kabisa sio issue ya leo wala kesho.
  2. Olsea

    Msaada mita ya TANESCO

    Mkuu nipe ushauri.
  3. Olsea

    Msaada mita ya TANESCO

    Mkuu jana wamekuja wakaangalia wamesema ni mita imekufa..unanishauri nn cha kufanya hapo?
  4. Olsea

    Msaada mita ya TANESCO

    Habari wadau wa jukwaa la Tech,juzi ilinyesha mvua kubwa na radi iliyopelekea umeme kukatika.Cha ajabu umeme ulivyorudi kwangu uligoma kabisa ikabidi kuwaita TANESCO kuangalia wakadai mita imeharibika mpaka kubadilisha kuwauliza watakuja lini kubadili sio chini ya siku 10..hapa nawaza namna ya...
  5. Olsea

    Msaada; LUKU error 77 display

    Wakuu na mm msaada,juzi kulikuwa na mvua kubwa radi iliyopelekea umeme kukatika,cha ajabu ulivyorudi kwangu umegoma kabisa kurudi zaidi ya siku mbili kuwaita TANESCO kuangalia wanadai mita imekufa mpaka waje kubadili tena itafanyika baada ya zaidi ya wiki..hakuna alyewah kutana na hii changamoto...
  6. Olsea

    Kuhusu Nissan bluebird

    Asante sana Mkuu,na vipi upatikanaji wa spea sio shida?
  7. Olsea

    Kuhusu Nissan bluebird

    Habari zenu Wakuu natumaini muwazima…kuna hii gari inaitwa Nissan bluebird yenye 1490cc,nilikuwa naomba kwa yeyote anayeijua je ni nzuri kwa kuzingatia upatikanaji wa spares na matumizi ya mafuta?
  8. Olsea

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sikonge Tabora umeme ulikatika jumamos saa 2 usiku umekuja kurudi leo jumatatu saa 1 jion na ilipofika saa 3 usku umekata tena,imagine toka jumamos umeme haujaonekana mpaka leo jumatatu si hatari hii.
  9. Olsea

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mgao wa umeme utapungua lini kwa watu wa Sikinge Tabora?kila siku tunashinda bila umeme hata leo,jana n.k
  10. Olsea

    Je, inawezekana kuchaji battery za solar kwa umeme wa Tanesco?

    Mkuu mm natumia 300W kuchajia 150Ah,kabla ya hapo nilikuwa nachajia 200Ah.
  11. Olsea

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sikonge Tabora siku ya 3 mfululizo leo hatuna umeme,kila siku unarud saa 6 au 7 usiku then asububi kabla watu hawajaamka unakatika.
  12. Olsea

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sikonge Tabora siku ya 2 leo hatuna umeme na hadi saa hz inaenda saa 5 usiku haujarudi.
  13. Olsea

    Je, inawezekana kuchaji battery za solar kwa umeme wa Tanesco?

    Si chini ya masaa 7 tv inchi 40,na kuchaji simu ndogo iphone se third generation.
  14. Olsea

    Je, inawezekana kuchaji battery za solar kwa umeme wa Tanesco?

    Inverter ni Watts 300 na sio Charger controller,natumia Hisense smart tv inchi 40 inasukuma masaa si chini ya 7 na huwa nachaji simu Mkuu.
Back
Top Bottom