Recent content by Olsea

  1. Olsea

    Peugeot 504 kuja kivingine 2026

    Nazipenda sana gari za Peugeot,hasa postion wanayoweka dashboard zao zinakuwa juu kidogo ya steering,inakuwa haijifichi chini kama gari nyingine.
  2. Olsea

    Msaada namna ya ku activate locking/unlocking bee sound.

    Security system ni Toyota Mkuu na fubguo n zile zenye button 2..nimejaribu options zote ulizozitaja naona bado.
  3. Olsea

    Msaada namna ya ku activate locking/unlocking bee sound.

    Habari wakuu,nina gari aina ya Toyota Belta X niki lock kwa kutumia remote yake ina flash taa za indicator mara 1 na nikitoa lock ina flash taa za indicator mara 2 kimya kimya bila kutoa sauti ya ku beep ya aina yoyote,naomba kujuzwa namna ya ku activate iwe ina beep nikiweka lock au kutoa...
  4. Olsea

    Msaada muda wa kubadili oil kwenye gari.

    Ni kweli Mkuu,nimefungua bonet ya hii gari nimekuta maandishi yana recommend kuwa oil ibadilishwe kila baada ya kilomita 15,000...nafikiri nitabadili soon ila ukwel oil iliyopo bado ni mpya kabisa.
  5. Olsea

    Msaada muda wa kubadili oil kwenye gari.

    Habari wakuu,nina gari yenye engine 2sz nilimwaga oil na kubadili oil filter ikiwa na kilomita 95,000 fundi akaandika kwenye service card kuwa natakiwa kumwaga tena ikifika kilomita 98,000.Sasa jana ndyo gari imefikisha hizo kilomita ila leo nimeangalia oil bado ipo vile vile kama mpya ikiwa na...
  6. Olsea

    Msada taa ya nyuma

    Shukran sana Mkuu
  7. Olsea

    Msada taa ya nyuma

    Ipo Mkuu,basi tu
  8. Olsea

    Msada taa ya nyuma

    Habarini wadau,naomba msaada kwa yeyote ambae anaweza kuwa na mawasiliano ya sehemu ambayo naweza nikapata taa ya nyuma upande wa dereva ya gari aina ya Toyota Belta,leo nimejikuta nagonga mti wakati narudi nyuma.Natanguliza shukran kwa yeyote atakaesaidia.
  9. Olsea

    Msaada kuhusu Aliexpress

    Unaweza ukawa na namba zao kaka
  10. Olsea

    Msaada kuhusu Aliexpress

    Kwa Tabora unaweza ukawa unajua zilipo kaka
  11. Olsea

    Msaada kuhusu Aliexpress

    Nilimpigia juz akaniambia mzigo unafika kesho unipigie,jana nmempigia kaniambia nisubirie jumatatu..kilichonipa wasi wasi n hyo ya mfumo kusema nmesha pokea percel tena kwa jina langu.
  12. Olsea

    Msaada kuhusu Aliexpress

    Habari wakuu,ninaomba msaada kwa wale wazoefu wa kuagiza vitu Aliexpress,nilinunua bidhaa tarehe 18/09/2024.Percel ikafka Dar es salaam Tanzania tarehe 28/09 mm nipo Mkoa wa Tabora nikajua itanifikia hadi huku maana mara ya mwisho nilitumia posta ilifka had huku.Cha ajabu kufikia tarehe 03/10...
  13. Olsea

    Msaada matumizi ya hizi buttons kwenye Gari automatic

    Duh Mkuu nimejaribu ni kweli siti ilikuwa ya moto,na vipi nikiiwasha inakuwa ni siti zote au kwa Dereva tu?
  14. Olsea

    Msaada matumizi ya hizi buttons kwenye Gari automatic

    Wataalamu habari za majukumu, nilikuwa ninaomba kuelemishwa kuhusu hizi buttons zilizozungushia duara jekundu zinaitwaje na huwa zinatumika wakati gani?
Back
Top Bottom