Kutambuana Kama wewe mrundi,mkongo au mkenya sio kubaguana Afrika kuwa moja haimfanyi mtutsi kuwa na haki ya kwenda kuongoza Nchi ya South Afrika au mzaramo kwenda kuongoza Libya kiholela lazima tuheshimu katiba na sheria tulizojiwekea
Mwalimu Nyerere aliruhusu ndugu zake kuishi wanavyotaka kwenye ardhi ya Tanganyika na Zanzibar thus why hadi Leo idara ya uhamiaji haina nguvu Kuna mwanajeshi alirudi kwao baada ya kuwa mtumishi ktk vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hapa nchini kwetu, tujiulize aliondoka na Siri ngapi kuhusu...
Wewe umesema muungano ni kati ya Tanzania bara na Tanzania Zanzibar nimekubaliana na wewe.
Tumeona Zanzibar Ina uongozi wake sawa, swali langu wanaiongoza Tanzania bara ni akina nani?
Umemtaja Samia Suluhu,Philipo Mpango na Majaliwa Hawa Ni viongozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania sio...
Majaliwa Kassimi ni waziri mkuu wa Tanzania au Tanzania bara(Tanganyika)?
Philipo Mpango ni makamu wa rais wa Tanzania au Tanzania bara (Tanganyika)
Elewa swali kwanza ndipo ujibu
Swali langu Muungano ni kati ya Tanganyika (Tanzania bara ) Kama mnavyoiita na Zanzibar ( Tanzania Zanzibar) uimara wa muungano huu unatokana na viongozi kati ya Tanzania bara na Tanzania Zanzibar
Viongozi wa Tanzania Zanzibar wapo je viongozi wa Tanzania bara ni akina Nani?
Embu orodhesha...
Kwenye hitimisho umesema muungano umechukua nafasi kubwa ya kuwaunganisha wananchi na kuimarisha mahusiano mazuri kati ya Tanzania bara na Tanzania Zanzibar.
Ungetusaidia kidogo kuhusu viongozi wa Tanzania bara Ni akina Nani? Na viongozi wa Tanzania Zanzibar ni akina nani? Katika kuimarisha...
Mtoa mada anajichanganya sana kuanzia suala la kuheshimu katiba na sheria za nchi pamoja na hiyo case study yake.
Kwanza ungetueleza Ni akina nani hasa ambao hawaheshimu katiba na sheria za nchi yetu?
Kwa akili za kipropaganda unataka kutuaminisha katiba na sheria ya Nchi haziheshimiwi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.