HAbari ndugu zangu natanguliza pole na majukumu mbalimbali mungu awatie nguvu.
Mimi ni daktari(medical doctor) nilietokea uswazi changanyikeni so nayajua matatizo mbalimbali yanayotusibu mtaani na kupelekea shida katika afya zetu.
Nimeandika tamthiliya inayolenga kupambana na malaria katika...
Mungu amlaze pema uyu mama kichanga kwa kifo kichungu alichokipata kule Tanga
Nasikitishwa na serikali kutopata ufumbuzi endelevu wa majambo haya sugu.
Hatua ya kumuadhibu daktari aliyekuwa zamu, mtu wa usingizi na nesi wake sio suluhisho na kama kuna mwenye hoja naomba anijibu awa wa3 mnahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.