HII HAILENGI KUMCHOCHEA MTU
Nchi hii ilipata uhuru 09 Dec, na wananchi walifurahia uhuru wao vizuri kabla hawajaingia wakoloni weusi
Sasa nchi imerudishwa tena utumwani na wakoloni weusi,
👉 Hakuna HAKI
👉 Hakuna uhuru wa maoni
👉 Hakuna uwajibikaji
👉 Mauaji, kutekana, kupotezana, kuumiza...
Baada ya kuusikiliza wimbo wa True Boy (Nay) na kuitazama video yake, nimepata ujumbe kuwa;
👉 Nay anazidi kuushangaa umma wa watanzania kwa namna unavyoshindwa kuchukua maamuzi ya pamoja kwenye masuala mbalimbali yanayowaumiza
👉 Nay anaona wananchi wanapaswa kupigwa viboko ili kuwakumbusha...
Peter anapaswa asome vitabu na kutazama makala ñyingi ili apate maarifa ya kuutumia unene wake kujiingizia mkwanja na kupata umaarufu ambao pia utazidi kumpa dili za hela
Moja ya sehemu ambayo Peter anaweza kuitupia jicho ni michezo hasa ya kurusha na kunyanyua vitu vizito
Hapa kama Peter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.