Recent content by Oldmantz

  1. O

    Yanga inalindwa kama Benki na timu rafiki

    GUSA ACHIA TWENDE KWAO!KOLO ATAPIGWA WEEK
  2. O

    Biteko anafaa kuwa rais baasa ya Samia kuongoza nchi kwa takribani 40 years mana hatujawahi kuwa na rais aina hii.

    RAIS mpole hatumtaki!tunataka chuma type ya JPM but azingatie tu haki za binadamu lkn awe mchapakazi na chuma kama #CHUMAJPM#
  3. O

    Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

    wakiamua kumjua watamjua, coz watatrack number ya lisu kuona number zilizompigia hyo siku aliyosema!cyber unit watagundua ni number gani, unless alikua smart hakumpigia na number yake
  4. O

    POLISI: Bwana harusi alijificha kwa mganga.

    ambao hamjui stress za madeni msicomment hapa!zinatesa sana aisee!!alifanya hayo kwa kutokupenda
  5. O

    Uzi wa picha: Waarabu waking'oa viti Kwa Mkapa

    Sanaaaa haya makolo MAJHINGA KABISAA
  6. O

    Uzi wa picha: Waarabu waking'oa viti Kwa Mkapa

    MASHABIKI YA MAKOLO FC NI MAJINGA SANAA!SIO MASTAARABU KABISAA!!SASA UNANGOA VITI ILI IWEJE!NDO MAANA TRUMP ALITUTUKANA NGOZI NYEUSI
  7. O

    Tanganyika Packers: Eneo la Umma, palipokuwa Kiwanda kilichotoa ajira zaidi 2000, sasa pana Kanisa! Watu wanauziwa udongo, mafuta na maji

    Hayo maelezo hapo juu ya hiki kiwanda kwa kweli yanahuzunisha sana, ngozi nyeusi tuna safari ndefu sana kufika nchi ya ahadi!kweli TRump hakukosea kutuita lile jina.....
Back
Top Bottom