BAada ya uchaguzi mkuu uje na hiyo hoja yako hapa tutakusikiliza. CCM ni wajanja wanajua wameshaharibu lakini umesahau Makonda wakati wa Magufuli? Au leo kawa malaika
Ukweli nikua mwanaume anayeridhika na mke moja hawahi kuumbwa.ukiona katulia ujue ima hana kitu au iman imemjaa.lakin pamoja na hayo kutaman ni lazma ataman wa nje.tofaut nikua unaweza kutaman lakin ukajizuia kufanya au kumtongoza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.