waheshimiwa hivi mnajua kuwa lowassa ni laigwanani mkuuu wa masai wote wa east africa??,, taito ambayo aliipata kwa mizengwe tuu kama hii ya unyanyembe??? kumbukeni jinsi ole sendeka alivolalamika sana kuhusu rafu alizocheza lowassa kuwa laigwanani.. leo tena anatamani
kuwa chifu wa...
waheshimiwa hivi mnajua kuwa lowassa ni laigwanani mkuuu wa masai wote wa east africa??,, taito ambayo aliipata kwa mizengwe tuu kama hii ya unyanyembe??? kumbukeni jinsi ole sendeka alivolalamika sana kuhusu rafu alizocheza lowassa kuwa laigwanani.. leo tena anatamani
kuwa chifu wa...
ni kweli mkulu., lakini kiini kikuu ni hicho.. Kuna madhara makubwa sana mkuu ikiwa jukumu la kupata wabunge wa bunge la katiba amepewa mtu mmoja.. Maana yake anaweza kuamua/kuathiri mjadala mzima wa bunge hilo kuhusu katiba..itakuja kuwa kila anachotaka kikwete ndicho kinapita.. Hata kwenye...
Habari wana jf. Kuna mambo nina wasiwasi nayo toka nimeanza kuyasikia. Mi nilikuwa kinda sana enzi za tume ya nyalali. Naomba kwa wenye taarifa nzuri au waliokuwepo waniondoe wasiwasi kuwa asilimia 80 walikataa mfumo wa vyama vingi na ni 20% tu ndio walikubali. Nadhani ni propaganda za kisiasa...
mheshimiwa, je unakubaliana na kanuni ya 77 ya bunge? Ipo kihalali na iko dhahiri kabisa. Unless ungequestion ukweli wa hiyo idadi ya wabunge 106 ningekuelewa kidogo.. Tukubaliane pia kwamba katika mchakato huu wa katiba mpya suala la kuunda chombo fulani chenye nguvu za kutengua maamuzi ya...
natofautiana na ww kiongozi. Upo kinyume sana na kanuni za uzalendo,. Wanausalama wanaweza kufuatilia uraia wako. Pia kagame hana sifa na haiba za kidiplomasia kumzidi rais wa tanzania, japo kiukweli rais wetu kachoka sana kimaamuzi hadi anatia huruma.. Pia naamini kuna misimamo mingine mingi...
mheshimiwa, je unakubaliana na kanuni ya 77 ya bunge? Ipo kihalali na iko dhahiri kabisa. Unless ungequestion ukweli wa hiyo idadi ya wabunge 106 ningekuelewa kidogo.. Tukubaliane pia kwamba katika mchakato huu wa katiba mpya suala la kuunda chombo fulani chenye nguvu za kutengua maamuzi ya...
Kwa mleta uzi: kiukweli nachukia sana mtu anaetumia swanglish kwa kiwango kikubwa hivo., tukirudi kwenye uzi wako, hebu tujikumbushe nyakati za uchaguzi,ulishajiuliza haya:,
1. Kwanini kwenye baadhi ya majimbo hasa ya mjini matokeo hutangazwa kwa kuchelewa sana na kwa mtutu wa bunduki??
2...
Binafsi nilimuona mh mbowe kwa mara ya kwanza alipochaguliwa chair wa CDM 2004: Hakuwa mtu maarufu sana lakini alipata umaarufu siku hiyohiyo moyoni mwangu kwa jinsi alivoongea na vyombo vya habari. Ilikuwa ni kwa kujiamini sana, na umahiri mkubwa wa kujenga na kueleza hoja in a fluent way. In...
Nafurahi kitu kama hicho hakijawahi kunikuta. Bt nina ham nacho maana patachimbika mno!! Yaani wanaohamishwa huwa nawaona kama wajinga fulani hivi. Na mbaya zaidi kuna makonda wengine wakiona "masai" ni wengi nyuma, hutumia amri kuwahamisha watu!!!!!!!
Me pia nawachukia sana. Wakwanza ni tigo, wale wa mapikipiki.. Niwaoneaji sana. (Wamegeuka makachero, uhamiaji, traffic police, etc) wa pili trafic police., hawana haya. Eti dereva analazimishwa kufungua plate namba ishikiliwe na police kama hana pesa/leseni. Wa tatu ni FFU wakiitwa huwa...
namaanisha kuwakamata hawa tu haitoshi kama kweli kuna nia ya dhati. Kanga moko wanacheza usiku kwenye club za pombe!! Na ni ajira kwao. Baikoko inachezwa hadharani, bila kujali kuna watoto au la. Na baikoko ni zaid ya kanga moko kwa taarifa yako!!
Leo habari katika redio mojawapo ya hapa dar zinasema jeshi la polis kinondoni linawashikilia kinadada wa kundi la kanga 1 kwa "uhalifu". Kucheza mziki . Tafakari
No, hatuwezi tu kusema bab kachuja. Ni political strategy tuu za chama. Siku zote mwali huwa anafichwa. Na ww unasema hayo kwakuwa ameadimika jukwaani. Offcoz katika mambo uliyosema mleta mada ni moja tuu ambayo tunakubaliana na ni la hatari sana kwa babu. Asimuhusishe mkewe/ mchumba kwny...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.