Ukitaka kuishi vizuri katika ndoa mambo makuu ya kuzingatia ni Dini na Tabia , mwanamke akiwa na vigezo vyote viwili kwa pamoja utafurahia ndoa sana. Na si rahisi kumpata mke mwema bila kumwomba Mungu kumbuka macho yako na upeo wako ulionao bila maombi ya dhati ,furaha katika ndoa sahau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.