Recent content by Okechukwu

  1. Okechukwu

    Natafuta Mume

    si.deal na boys
  2. Okechukwu

    Natafuta Mume

    Hakuna mwanamke m.babe kwa mwanaume anaejielewa.
  3. Okechukwu

    Natafuta Mume

    Inategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.
  4. Okechukwu

    Natafuta Mume

    karibu
  5. Okechukwu

    Natafuta Mume

    Awe na miaka 28...36 Mkaz wa Dar Christian Urefu asifike fut 6 Mengine tutawasiliana pm. Mimi nna miaka 28 ni diploma holder. Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.
  6. Okechukwu

    Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

    wapuuz kweli mtazaa na wanawake wasiojielewa.
  7. Okechukwu

    Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

    na ndo maana ukitaka kuolewa kataa kusex na mwanaume wako mana akili za wadada zinaishiaga hapo.
  8. Okechukwu

    Ambao huwa tunasubiri majibu mpaka wapenzi wetu wanaoa au kuolewa na watu wengine, tukutane hapa

    Mi nadhani itskua ni uzembe wenu tuu yaan Niko makini sana nikihisi tuu ueleweki napiga chini haiwezekani mtu hana mpango wa kukuoa au kuolewa naww afu usijue hasa kwa wanaume mko weak kweli unashindwaje kujua manzi hakupendi mbaka anaolewa we upo tuu[emoji1787]huna habari au ndo nyie mnafosi...
  9. Okechukwu

    Wanaume wenzangu msiwaonee huruma wanawake mnapokuwa sita kwa sita

    Ni kweli aisee yaan wengine bila maandalizi hata dyudyu haipiti ikipita umechubuka Sasa Hawa kina nanii wanataka upekeke moto kama unatafuta kombe[emoji1787]
  10. Okechukwu

    Kilio cha wake wa matajiri

    Wacha bodaboda waendeee kula mbunye za wakubwa...ila wenye pesa wanakuaga smart Sana mbaka kwenye kuduu we utakua unaongelea wasikini wenye vipesa vya mboga mbili
  11. Okechukwu

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Ewaaa..mi Badoo nimechart na weengi sana ila uzuri wanajiweka wazi yaan anaetaka game atakutext direct.
  12. Okechukwu

    Huyu mwanamke anafaa kuwa mke kweli?

    Oa tuu ni wife material uyo
  13. Okechukwu

    Siku ya kwanza kupiga au kupigwa denda, hali ilikuwaje?

    Kwangu ilikua tofauti sanaaaa sijui kama ilikua denda au nnachokumbuka nilikua nakula pipi akaniomba nikampa Kwa mdomo mana ilikua mdomoni Sasa jinsi alivyoipokea ndo nilichoka aisee yaan nilikua nimeitoa pipi kidogo mdomoni nilijua ataing'ata na meno ndo achukue..mwenzangu akafanya kuninyonya...
Back
Top Bottom