wadau nisaidie mimi natumia line ya halotel mara nyingi,sasa shida ni moja mtu yoyote wa line ya vodacom akinipigia hatusikilizani mpaka either anipigie mara mbili au tatu ama mimi nimpigie mbali na hilo upande pia wa sms mtu anaweza nitumia sms asubuhi ikaingia katika simu jioni ama mchana...
jamani asanteni kwa michango yenu mnayoendelea kutoa nimepata mwangaza kama nilivyotangulia kusema njia ya dar to mwanza via dodoma nimepita mara kadhaa ila changamoto ni jam wakati mwingine unaweza tumia hadi masaa matano na ushee kuiona morogoro,endapo utofauti ungekuwa km 100 mpaka kuiona...
Habari wanaJF, naomba kuuliza kama natokea Dar kwa Gari ndogo kuelekea Mwanza ipi njia fupi kati ya kupita Dodoma au Arusha, japo njia ya Dodoma niliishapita mara kadhaa ila Arusha bado
Nategemea michango yenu wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.