Mheshimiwa: suala la UMEME Bado vijijini vingi Bado miundombinu ya umeme,,, UMEME umepita tu bababarani,, fanya mpango UMEME usambazaji wa nguzo ili watu waweke kwenye majengo!!! Mfano kijiji cha MANILA Bado umeme haujaenea!!!!
Mambo haya haya ya kuita kodi za wananchi pesa za Rais ndo maana ata wafanyabishara wa nchi hii wanakwepa kulipa kodi kwa sababu hakuna siku wala saa kiongozi au viongozi wa nchi wakasimama na kushukuru wananchi Kama vile wafanyakazi,, wafanyabishara,,wakulima kwa uzalendo wao wa kulipa kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.