Recent content by ohanyitz

  1. ohanyitz

    VITAMBULISHO VYA TAIFA NA USAJIRI WA LAINI ZA SIMU.

    Inawezekana ndugu yangu kwa Sababu kwa kipindi hiki kipaumbele Cha kuwa na kitambulisho Cha utaifa Ni kusajili line za simu. Itanakiwa tufikili kwa umakini Sana ndugu
  2. ohanyitz

    VITAMBULISHO VYA TAIFA NA USAJIRI WA LAINI ZA SIMU.

    Nashkulu Sana Kaka nimeliona hilo
  3. ohanyitz

    VITAMBULISHO VYA TAIFA NA USAJIRI WA LAINI ZA SIMU.

    Ni swala gumu sana na halitowezekana ndugu.
  4. ohanyitz

    VITAMBULISHO VYA TAIFA NA USAJIRI WA LAINI ZA SIMU.

    Habari za wakati huu wana jamvi, binafsi Mimi ni mzima wa afya. Kama mada inavyo jieleza hapo juu. Kwa muda mrefu sasa tangu kipindi Cha awamu ya nne tumeshuhudia uanzishwaji wa VITAMBULISHO VYA TAIFA ikiwa na lengo kuu Kama utambulisho halali wa uraia wa Tanzania. Swala hili walikabidhiwa NIDA...
  5. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Wamefanya Nini tena?
  6. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Hahahah nawasubur
  7. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Hahah alafu guys, mnahisi am jocking, it serious guys and once again, sijakurupuka kuandika uzi huu, nifikilia sana, and for my side nahisihi social network is the best way for this time.
  8. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    If your interested, welcome!!
  9. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Una degree ya Nini?
  10. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Kaka iv unahisi Mimi mjinga kiasi hiko? Najitambua na najua ninacho kifanya brother
  11. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Asante comred
  12. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Wakubwa education is matter kwa sababu zangu Binafsi,alafu mnaweza chukulia utani, but it very serious guys
  13. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Hahaha chilato unajituma!!!
  14. ohanyitz

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Hapana sio kwel, Mungu alitupa uwezo mkubwa sana wakuishi na mwanamke yeyote, wanaume tumeshindwa kutumia uwezo huo aliotupatia Mungu.. Inakuwaje mwanaume analalamika eti wanawake wenye elimu ni wasumbufu? Umekufa kifikra ndugu yangu, amkaa unawezo mkubwa Sana kaka, achana na maneno ya...
Back
Top Bottom