Inawezekana ndugu yangu kwa Sababu kwa kipindi hiki kipaumbele Cha kuwa na kitambulisho Cha utaifa Ni kusajili line za simu. Itanakiwa tufikili kwa umakini Sana ndugu
Habari za wakati huu wana jamvi, binafsi Mimi ni mzima wa afya. Kama mada inavyo jieleza hapo juu. Kwa muda mrefu sasa tangu kipindi Cha awamu ya nne tumeshuhudia uanzishwaji wa VITAMBULISHO VYA TAIFA ikiwa na lengo kuu Kama utambulisho halali wa uraia wa Tanzania. Swala hili walikabidhiwa NIDA...
Hahah alafu guys, mnahisi am jocking, it serious guys and once again, sijakurupuka kuandika uzi huu, nifikilia sana, and for my side nahisihi social network is the best way for this time.
Hapana sio kwel, Mungu alitupa uwezo mkubwa sana wakuishi na mwanamke yeyote, wanaume tumeshindwa kutumia uwezo huo aliotupatia Mungu.. Inakuwaje mwanaume analalamika eti wanawake wenye elimu ni wasumbufu? Umekufa kifikra ndugu yangu, amkaa unawezo mkubwa Sana kaka, achana na maneno ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.