Lakini ni hatari zaidi wanajenga ujasiri kwa raia hivyo wanaweza kupata wahalifu wenye weledi mkubwa wa kukabiliana nao namna wanavyo tembea na siraha katika maeneo ambayo hayaonyeshi uhitaji.
Wakuu nianze na kisa kifupi kidogo.
Juzi nilikuwa katika mizunguuko kwenye miongini mwa masoko nikitafuta baadhi ya mahitaji. Ghafla niliona maafisa watatu wakiwa na silaka za moto.
Nikamuuliza miongoni mwa wafanyabiashara hawa maafisa wamekuja kumkamata mhalifu? Akasema hapana wapo kwenye...
Awali ya yote niwasalimu ndugu na wadau wa jamii forum ,pili nikushukuru wewe unaelisoma andiko hili tatu na mwisho nikuombe wewe ikiwa unaguswa na haya basi tumia nafasi ulio nayo bila kupima udogo ama ukubwa wake kuisaidia jamii yetu ipate kuwa na ufahamu amabao utasadia miongoni mwa wengi...
Naona ni fursa ya kujiajiri kupitia kutoa huduma ya kuonyesha mpira, masumbwi, tamthilia pamoja na michezo mingine pia hata matukio mbalimbali, Je mchanganuo wa mtaji wake upoje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.