Recent content by Official nyox

  1. O

    Wanaume mna roho mbaya ndiyo maana mnakufa mapema

    Sisi ndo tuko sasa...mkitaka ambao hamna watot mzae wenu
  2. O

    Wadada, mnataka dakika ngapi?

    Swali wameulizwa wanawake ila ss wanaume tumeamua kuwajibia
  3. O

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Ndo hapo wanapaita maji moto?
  4. O

    Huu muonekano wa neno GOOGLE leo una maana gani?

    Kwan huoni shape za hizo letter mkuu?
  5. O

    Mkaka atupiwa vinguo vyake nje na aliekuwa mchumba wake

    Ajali kazin mkuu...usiwaze ...utapata mwngine tu...mijishangazi IPO mingi
  6. O

    Rihanna Atoa Somo Zuri kwa Wanawake. Jitahidini Kuishi Maisha Ambayo Hamtajutia Baadaye

    Hakuna kitu kinanikera kwa vibinti vya kibongo vikishaweka miwigi kichwan basi utaskia 'mahari yangu ni million 500'...mwngine mara ohh natumia million 5 la bando...kupitia huko tu wanatuaribia hata Hawa ambao wanaweza kuoleka na kujenga familia Kwan wanawake wengi kwa kufake au kweny uhalisia...
  7. O

    Kuna wanawake wana roho ngumu sijawahi kuona

    Aah..ila si ndo uhalisia mkuu?ukiwa away ground lazma ukaze haswa..inatakiwa uache legacy kama mwamba alivyofanya
  8. O

    Kuna wanawake wana roho ngumu sijawahi kuona

    Kwa hyo umekubali kwamba jamaa wa jambo pinzan anapeleka mikito zaid yako?maana tangu uko nae huyo mwamba hajawai kuiskia hiyo sauti ila mwamba alivyotia team tu jamaa akashindwa kuzoea hyo sauti
  9. O

    Wanaume weusi tuhuma hizi ni za kweli?

    Haha...ni mwendo wa matukio tu..ataenda pumzika kaburini ndo hatokumbana na hizo heartbreak
  10. O

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Yan unajiachia na mke wa mtu hadi unalala kitandan alicholala na mme wake?hizo ni dharau kabisa...hata kama ni kuchepuka mke wa mtu c kwa viwango hivyo ulivyofikia....anapatikana wapi nimpelekee mayai viza?
  11. O

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Asantee kwa kunielewesha mkuu..ndo maana nmeuliza
  12. O

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Kabisa mkuu...nlidhan ndo kisiwa kinachounda Zanzibar
  13. O

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Aah...nlifikir kisiwa kilichopo Zanzibar mkuu
  14. O

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Sijasoma yote ila nmeshanga Rais siku izi ana maamuzi ya kumtengua DED wa viziwan.?au Kuna Mafia nyingine?
Back
Top Bottom