Hakuna kitu kinanikera kwa vibinti vya kibongo vikishaweka miwigi kichwan basi utaskia 'mahari yangu ni million 500'...mwngine mara ohh natumia million 5 la bando...kupitia huko tu wanatuaribia hata Hawa ambao wanaweza kuoleka na kujenga familia Kwan wanawake wengi kwa kufake au kweny uhalisia...
Kwa hyo umekubali kwamba jamaa wa jambo pinzan anapeleka mikito zaid yako?maana tangu uko nae huyo mwamba hajawai kuiskia hiyo sauti ila mwamba alivyotia team tu jamaa akashindwa kuzoea hyo sauti
Yan unajiachia na mke wa mtu hadi unalala kitandan alicholala na mme wake?hizo ni dharau kabisa...hata kama ni kuchepuka mke wa mtu c kwa viwango hivyo ulivyofikia....anapatikana wapi nimpelekee mayai viza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.