Aiysee.. Changamooto mkuu, wengne hapa tuliambiwa mwezi wa saba... Japo kuna tetesi kuwa kuna mabadiliko yaeza isifike huko, kwahyo mwendo wa Transcript ni kwa wengi tuu... Nafasi kadhaa tayari zishatupita inshort yaan
Cham'z
Nmewaelewa wakuu...
Kuhusu passport nitaenda kupiga ntawaletea, + barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji kata.... hahahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hodi hodi jamaani, wenyeji mpo??
Mimi ni mgeni humu, sijawahigi ingia katika familia hii na kuwajulia hali.
Naomba nipokelewe na kukaribishwa kiroho saafi..
Natumai na nataraji kuwa na nyinyi kuanzia sasa na kuendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.