Recent content by octer core

  1. O

    Kuna kitabu unatafuta?

    Kiu ya haki cha Zainab M. Mwanga
  2. O

    Nafanyaje ili nirudishe data zangu zilizokuwa katika memory?

    Usiiformat. Iweke ktk kifaa kingine ila isiwe smartphone, yaweza kuwa radio au simu ya batani ikisoma huko irudishe ktk hiyo smartphone yako. Anzia hapo
  3. O

    GE2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

    System gani uliyoimaanisha ambayo haiwezi kukubali kukabidhi nchi kwa atakayeshinda?
  4. O

    WANAYANGA SC MSIRUDIE KOSA HILI

    Haya waungwana hushindana kwa hoja. Uje sasa unipe kanuni iliyotumika kupewa timu 4. Mbili club bingwa na mbili shirikisho.
  5. O

    WANAYANGA SC MSIRUDIE KOSA HILI

    Mashabiki wa yanga walitakiwa waiombee dua na kuisapoti simba sc katika ligi ya mabingwa afrika ili kunufaika na mambo mawili katika timu yao na nchi kwa ujumla. Jambo la kwanza, ikiwa simba itafanikiwa kufuzu robo fainali ingeifanya bodi ya mashindano ya caf kuijadili kuiongezea uwakilishi wa...
  6. O

    Ziara ya Tundu Lissu iangaliwe kwa jicho la tatu na wapenda amani

    Waangalizi ambao unadai hawatutakii mema? Vipi kuhusu uchaguzi wa Zanzibar, waangalizi walisema haukuwa huru na wa haki hadi ukafutwa?
  7. O

    Google play services won't run unless you update Google play services

    Huenda storage ya simu yako imejaa, kama ni hivyo futa visivyo na umuhimu kisha update upya.
Back
Top Bottom