Mimi mwenyewe nimeiona hiyo post humu humu jf.... Call for oral interview. Lakini kwenye website yao sijaiona. Sasa sijui huyu SUPU YA MAWE kaitoa wapi.
Call for oral interview tayari itakuwa tarehe 17 jan.... ila wameitwa wengiiii wa bukoba, mwanza na kahama..... dar mmoja tuu. Walioitwa wako kama 30 hivi.... pitia website ya NSSF.
Rafiki yangu alichelewa kupata yake huku wenzake wakiwa wameshapata.... alipoenda kufuatilia aliambiwa asubirie itatumwa tuu posta. Wiki mbili mbele na barua bado...siku hiyo akaenda kuwauliza tena akawa mkali secretary akawa anakijibu kwa nyodo. Kumbe barua anayo kwenye meza yake nafikiri...
Aisee simu yangu ilikuwa imeharibika week nzima hii, hawajayatoa majina sehemu yoyote au waweza nsaidia number yao ili ni confirm kama na mimi nimo maana nili apply pia. Nitashukuru mkuu kwa msaada.
Naongelea ya finance na public relations ofcourse waliotoka written kwenda oral. Majibu walisema wataweka kwenye website yao trh 4.12.2013 lakini usiku mzima mpaka asubuhi hakukuwa na kitu kama hicho. Wamekuja kuweka majina saa 4 wakati interview ni saa tatu, yaani saa lishapita.
Habarini wana jamvi, poleni kwa mliokumbwa na unyama wa TPDC.
Kwenu wakuu wa kazi TPDC ni dhahiri mlikusudia mliyoyafanya kwa wanyonge wananchi.
Nikiwa kama mmoja wao nimehuzunishwa na the way mlivyowapata watu wenu kwa njia za panya na kuwadidimiza wanyonge.
Tangu tulipoomba kazi mwezi wa...
Yaani mimi ndo wamenikera wameniboa na kila kitu, walisema watabandika kwenye website ya coet.udsm jana saa 11 jioni tangu jioni hiyo mpaka leo asubuhi ya saa nne kasoro ndo majibu waruhusu web kufunguka. Hoja yangu ni, kama kweli walikuwa wanahitaji kusaili watu walishindwa nini kuweka results...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.