Acha na mimi nikusaidie kupandisha tangazo lako, unapofanya marketing ya biashara yako sikiliza sana unaowatangazia wanahitaji nini... Maana wao wanahitaji huduma huku wewe ukihitaji pesa yao and by the way, mwenye pesa ndyo mwenye nguvu pia ujue dalali hauko peke yako competent
Wewe umeambiwa...
Mkuu huyo jamaa yako inshort alishindwa kukubaliana na matokeo aliyokutana nayo baada ya vipimo btw we are not safe in this unsafe world untill we are not here anymore
Mi nilipima july nakubainika nina VVU kiukweli iliniumiza sana for like two weeks and i was like getting confused lakini mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.