Miaka kama 5 iliyopita kuna picha ilitrend alipiga instragram bi Sofia byanaku( Mke wa Profesa janabi) amekutana na vijana 25 yrs mapacha wa kitanzania wanasoma HARVAD , Mmoja wao ndio huyu mtia nia wa ubunge huko Ngorongoro.Mimi binafsi wanafahamu tangu wakiwa wadogo ni wanyenyekevu sana, japo...
Pamoja na madhaifu mengi ya Mh Rais ila sijui kwa Nini bado ni Rais Bora kwangu wa muda wote, Ameliponya taifa kwa mengi awamu ya tano ingeendelea tungekuwa shimoni sasa hivi. Kongole Mamq Samia
Mwalimu Deo kisandu alikuwa ma changamoto za afya akili,Serikali badala ya kumsaidia ikamgunga jela... Alikuwa anafurahisha jamvi humu ndani,
Kuna mwamba alikuwa anajiita Dr holy grail mwemezi alikuw burudani sana
Huyu jamaa niliona nae miezi miwili iliyopita Kwenye msiba wa Professor Sarungi osterbay nyumbani na karimjee siku ya kuaga mwili, Sijui ni Dr wa nini ila kwa maongezi yake sidhani Kama ni PhD, Dini yake ni msabato, ni mwana ccm kindakindaki, na aliniambia alishawahi kuwa mtangazaji kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.