Recent content by Obama wa Bongo

  1. Obama wa Bongo

    TTCL: Kufungiwa Huduma za Fiber ni bure, wanaodaiwa kuchukua rushwa hatua zitachukuliwa

    Hawa jamaa tulijunga nao huduma ya land line,dah tiliamua kuavha nao
  2. Obama wa Bongo

    Picha ya Marafiki wa Lowassa

    Mkubwa wa wahuni na wanae...... Don RA
  3. Obama wa Bongo

    Silvanus Mizengo Ole Pinda ni nani tena?

    Miaka kama 5 iliyopita kuna picha ilitrend alipiga instragram bi Sofia byanaku( Mke wa Profesa janabi) amekutana na vijana 25 yrs mapacha wa kitanzania wanasoma HARVAD , Mmoja wao ndio huyu mtia nia wa ubunge huko Ngorongoro.Mimi binafsi wanafahamu tangu wakiwa wadogo ni wanyenyekevu sana, japo...
  4. Obama wa Bongo

    GE2025 Watumishi wa Umma hatuna deni na Mh Samiah Hassan Suluhu

    Nitapigia Kura CCM kwa Mara ya Kwanza, Nani Kama Mama Samia 🤩🤩🤩
  5. Obama wa Bongo

    Vijana wa Dar es Salaam

    Achana na sisi tusipangiane maisha
  6. Obama wa Bongo

    Hivi kwa nini wafanyakazi wengi wa halmashauri hawana uweledi?

    Halmashauri wamesahaulika SANA, si wazembe
  7. Obama wa Bongo

    Rais Samia: Watumishi wa Umma wanakosa uzalendo, unateua mtu anakwenda kupiga picha nyaraka za siri na kusambaza

    Pamoja na madhaifu mengi ya Mh Rais ila sijui kwa Nini bado ni Rais Bora kwangu wa muda wote, Ameliponya taifa kwa mengi awamu ya tano ingeendelea tungekuwa shimoni sasa hivi. Kongole Mamq Samia
  8. Obama wa Bongo

    JF kumekucha: Nioneshe Deo Kisandu ili nikuoneshe Dennis Roberts!

    Mwalimu Deo kisandu alikuwa ma changamoto za afya akili,Serikali badala ya kumsaidia ikamgunga jela... Alikuwa anafurahisha jamvi humu ndani, Kuna mwamba alikuwa anajiita Dr holy grail mwemezi alikuw burudani sana
  9. Obama wa Bongo

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Huyu jamaa niliona nae miezi miwili iliyopita Kwenye msiba wa Professor Sarungi osterbay nyumbani na karimjee siku ya kuaga mwili, Sijui ni Dr wa nini ila kwa maongezi yake sidhani Kama ni PhD, Dini yake ni msabato, ni mwana ccm kindakindaki, na aliniambia alishawahi kuwa mtangazaji kwenye...
Back
Top Bottom