Umekimbilia kumsema mnyika, umesahau kuwa ndugai nae hakuna kitu anchofanya kule kongwa zaidi ya kufuga kipara na kitambi tu,,nenda kule jimbo lake LA kongwa ukaone,,,kongwe ni sehemu ya hovyooo,,kongwaa haina maendeleoo,,wananchi wa kongwa wana hali ngumu,,kongwa miundombinu ni mibovu yani...