Baba V, mm sio mgeni? Ila inashangaza unavyomwambia mtu atumie nauli yake halafu utamlipa akifika kambini katika dunia hii ya teknoljia juu. Enzi za wazazi wetu hayakufanyika haya.why today?
Kuanzia tar 04 machi 2013, zaidi ya wanafunzi 1000 waliohitimu kidato cha sita walianza mafunzo ya Jeshi la kujenga taifa. Ni wazo zuri na sina pingamizi nalo hata kidogo.
Mimi ni mmoja wa wadau ambao wamehusika ke sehemu na utaratibu huu kwa sababu dada yangu yuko huko.
Hv ni kweli kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.